Kidumu chama chawala

Kidumu chama chawala

Hawa wahuni tu, hawana jipya....Hapa Kinana aonekana mchapa kazi, ngoja wampe uwaziri mtamshangaa, kwanza ataangusha bonge la party la kuaga umasikini huku akijuwa baada ya wiki mbili kazini mabilioni yote aliyopteza kwenye party yanarudishwa kwenye account yake. Watu wakimkumbusha kuhusu uadirifu anawashangaa kana kwamba si yeye aliyekuwa akipita vijijini kukuna nazi na dada yake Nape. Chama Cha Masela, ni shida tupu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom