sisiem inapendwa....Mpaka pakawa hakuna pa kutemea mate
ili hewa iingie kwenye pu.mbuzoNape mbona anasimama huku katanua miguu hivo
acha tu...Mpaka chenchi inabaki
Yani hapo jukwaa kuu wamejaa viongozi wa kitaifa kuanzia, Katibu mkuu wa chama, katibu mwenezi na itikadi wa chama taifa, mwenyekiti wa ccm Mkoa wa Arusha.
Ajabu sana Kinana anamhutubia NAPE