miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
unamsingizia baba yangu
baba nimekunywa dawa sema nimechoka sana viungo baba na maji nimekunywa mengi ... baba mimi nataka nikalale
unamsingizia baba yangu
baba nimekunywa dawa sema nimechoka sana viungo baba na maji nimekunywa mengi ... baba mimi nataka nikalale
Yaani Mr Rocky me ulikuta wapi?
Jukwaa la watoto lile ambalo unaingia at your own risk
miss chagga unapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa na huyo baba yako utafiti
mimi sitaki bwana naenda kulala naumwa
Baby naomba uskae hapa sio pazuri...
sawa baba bye
Bye mwanangu love u....
love u more dady... take care dady
![]()
Chezea mziki wewe? Ila nina mashaka na mauno ya huyu jamaa maana kabinuka alafu anaangalia mzigo wake.
duh huyu jamnaa ni chakula nini?
nitakupa access yangu mkuu utafiti wala usiwe na hofuMe siendi bana sina access
Mwambie Ntuzu yupo kule saivu anaongoza jukwaa