jamiif
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 2,413
- 995
hii avatar yako ni noma! hahahahahaha
Hiki kinaitwa Kiduku Mbinuko.
Hiki kinaitwa Kiduku Mbinuko.
Mhhh mi huo ugomvi na Ntuzu siutaki maana sitauweza na mwambie binti yako miss chagga aache mambo zake akalale kwanza anaumwa
walah tena jamaa ni bwabwa kiduku gani no 7 ntumie no yake nilifanyie promo hilo pungahebu subiri kwanza niangalie tena hii mauno ina jinsi sio kiduku nachokijua mbona anayapiga macho hiyo nyonga.
utafiti Amekudanganya yuko kwenye lile jukwaa ambalo kuingia mpaka upewe funguo na unaingia at your own risk
Anaangalia usalama maana itakuwa ni dance at your own risk.Chezea mziki wewe? Ila nina mashaka na mauno ya huyu jamaa maana kabinuka alafu anaangalia mzigo wake.
utafiti Amekudanganya yuko kwenye lile jukwaa ambalo kuingia mpaka upewe funguo na unaingia at your own risk
wapi huko baba hayupo hapa niambie basi ni wapi? sitamwambia kama ni nwewe umeniambia
Mwanangu unaendeleaje? Wanakuumiza kichwa tu hao
wanasema umeenda kule kwenye tabia mbayaMwanangu unaendeleaje? Wanakuumiza kichwa tu hao
wapi huko baba hayupo hapa niambie basi ni wapi? sitamwambia kama ni nwewe umeniambia
Jukwaa la mwisho kabisa humu mjengoni hebu liangalie limeandikwaje
wapi huko baba hayupo hapa niambie basi ni wapi? sitamwambia kama ni nwewe umeniambia
Mwananagu umekunywa dawa?
unamsingizia baba yanguJukwaa la mwisho kabisa humu mjengoni hebu liangalie limeandikwaje
wanasema umeenda kule kwenye tabia mbaya
Nipo hapa mwanangu sijaenda me ata sipajui huko