Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
Aisee sa hizo kanga anapodondosha mnakuwa nyie wawili tu..........
Anaukimwi huyo achana naye
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Wee kama kweli hupendi huo upuuzi wake msubirie kaidosha alafu wewe iokote tokomea nayo,si anahamu ya kukaa uchi basi hiyo ndio dawa yake lazima atakuheshimu tu...
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
farkhina ha ha ha... umenifanya nipate auheni na kaugonjwa changu....
Pole sana dear....utapona kwa uwezo wa mungu...
mwenzenu hapendi mjue! msimtie majaribuni bali mumuokoe na yule mwovu
Huyu dada sijamuelewa! Jana jioni alipita na kikanga kimoja na t-shirt nyeupe. Nilivyomkaribia kanga ikadondoka! Haaa, kumbe kavaa chupi tupu nyeupe?
Nilijikaza nikaondoka zangu. Leo tena asubuhi wakati nafata ka nusu lita ka maziwa, nimekutana nae anatokea kwao, alinipita kidogo huku akiyatikisa, mara kanga ikaanguka! Oooh, leo mbaya sana hajavaa kabisa kufuli. Mmmh, mbona suruali yangu ya kitambaa inaota mlima?
Haka katabia wadada na wamama imekuwa mazoea. Hampendi kuvaa kitu kwa ndani zaidi ya chupi au tight huku mmefunika kanga tu hata kama mna ka safari karefu. Hivi mna maana gani? Wengine hatutaki haya mavishawishi bana! Badilikeni...
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Hebu tuwekee Picha hapa tuthaminishe. Wewe mpige tu picha ikidondokaHuyu dada sijamuelewa! Jana jioni alipita na kikanga kimoja na t-shirt nyeupe. Nilivyomkaribia kanga ikadondoka! Haaa, kumbe kavaa chupi tupu nyeupe?
Nilijikaza nikaondoka zangu. Leo tena asubuhi wakati nafata ka nusu lita ka maziwa, nimekutana nae anatokea kwao, alinipita kidogo huku akiyatikisa, mara kanga ikaanguka! Oooh, leo mbaya sana hajavaa kabisa kufuli. Mmmh, mbona suruali yangu ya kitambaa inaota mlima?
Haka katabia wadada na wamama imekuwa mazoea. Hampendi kuvaa kitu kwa ndani zaidi ya chupi au tight huku mmefunika kanga tu hata kama mna ka safari karefu. Hivi mna maana gani? Wengine hatutaki haya mavishawishi bana! Badilikeni...
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums