Best sijui aisee mara ya kwanza tulikuwa wawili! Naamini ni mkosi aisee!
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Inawezekana anahitaji huduma yako!
Best sijui aisee mara ya kwanza tulikuwa wawili! Naamini ni mkosi aisee!
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Huyu dada sijamuelewa! Jana jioni alipita na kikanga kimoja na t-shirt nyeupe. Nilivyomkaribia kanga ikadondoka! Haaa, kumbe kavaa chupi tupu nyeupe?
Nilijikaza nikaondoka zangu. Leo tena asubuhi wakati nafata ka nusu lita ka maziwa, nimekutana nae anatokea kwao, alinipita kidogo huku akiyatikisa, mara kanga ikaanguka! Oooh, leo mbaya sana hajavaa kabisa kufuli. Mmmh, mbona suruali yangu ya kitambaa inaota mlima?
Haka katabia wadada na wamama imekuwa mazoea. Hampendi kuvaa kitu kwa ndani zaidi ya chupi au tight huku mmefunika kanga tu hata kama mna ka safari karefu. Hivi mna maana gani? Wengine hatutaki haya mavishawishi bana! Badilikeni...
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Bora umuulize
Maana jamaa anauza chai tu hapa
Huyu dada sijamuelewa! Jana jioni alipita na kikanga kimoja na t-shirt nyeupe. Nilivyomkaribia kanga ikadondoka! Haaa, kumbe kavaa chupi tupu nyeupe?
Nilijikaza nikaondoka zangu. Leo tena asubuhi wakati nafata ka nusu lita ka maziwa, nimekutana nae anatokea kwao, alinipita kidogo huku akiyatikisa, mara kanga ikaanguka! Oooh, leo mbaya sana hajavaa kabisa kufuli. Mmmh, mbona suruali yangu ya kitambaa inaota mlima?
Haka katabia wadada na wamama imekuwa mazoea. Hampendi kuvaa kitu kwa ndani zaidi ya chupi au tight huku mmefunika kanga tu hata kama mna ka safari karefu. Hivi mna maana gani? Wengine hatutaki haya mavishawishi bana! Badilikeni...
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Vijivulana vya siku hizi hasa vya Dar vinatuzalilisha sana wanaume, We manzi hadi akudondoshee kaka bado ushtuki tu hafu eti bado unakuja huku jf kutuomba ushauri!! si usenge huu.Tatizo hizo chips yai mnazokula ndo maafa hamwapatii huduma wanazohitaji hawa wadada ndo maana wanaaza winda.Enzi zetu tunakula mihogo na karanga mbichi we atapita mbele yako sasa.
Kamata Fursa hiyo Kijana
Nimeipenda kuliko. Na ndio shaihi tene wote wawe wanafanyiwa hivyo.Wee kama kweli hupendi huo upuuzi wake msubirie kaidosha alafu wewe iokote tokomea nayo,si anahamu ya kukaa uchi basi hiyo ndio dawa yake lazima atakuheshimu tu...
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Ushauri wa wanaume ni bala nyie mwawaza kumla tu wakati ukimwi nao wataka kuwala pia. Ama kweli hatuwei kusalimika maana nina hakika wanenao wamo ndoani pia. Lol tutapona kweli hapa?
Wengine wapo hapa kwa minajili ya kuwapoteza wenzao tu, hivyo usiamini kila watu waandikacho mpendwa...
Huyu dada sijamuelewa! Jana jioni alipita na kikanga kimoja na t-shirt nyeupe. Nilivyomkaribia kanga ikadondoka! Haaa, kumbe kavaa chupi tupu nyeupe?
Nilijikaza nikaondoka zangu. Leo tena asubuhi wakati nafata ka nusu lita ka maziwa, nimekutana nae anatokea kwao, alinipita kidogo huku akiyatikisa, mara kanga ikaanguka! Oooh, leo mbaya sana hajavaa kabisa kufuli. Mmmh, mbona suruali yangu ya kitambaa inaota mlima?
Haka katabia wadada na wamama imekuwa mazoea. Hampendi kuvaa kitu kwa ndani zaidi ya chupi au tight huku mmefunika kanga tu hata kama mna ka safari karefu. Hivi mna maana gani? Wengine hatutaki haya mavishawishi bana! Badilikeni...
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Huyu dada sijamuelewa! Jana jioni alipita na kikanga kimoja na t-shirt nyeupe. Nilivyomkaribia kanga ikadondoka! Haaa, kumbe kavaa chupi tupu nyeupe?
Nilijikaza nikaondoka zangu. Leo tena asubuhi wakati nafata ka nusu lita ka maziwa, nimekutana nae anatokea kwao, alinipita kidogo huku akiyatikisa, mara kanga ikaanguka! Oooh, leo mbaya sana hajavaa kabisa kufuli. Mmmh, mbona suruali yangu ya kitambaa inaota mlima?
Haka katabia wadada na wamama imekuwa mazoea. Hampendi kuvaa kitu kwa ndani zaidi ya chupi au tight huku mmefunika kanga tu hata kama mna ka safari karefu. Hivi mna maana gani? Wengine hatutaki haya mavishawishi bana! Badilikeni...
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
najua utabisha, ila wewe
ni domo zege na ujanja wako ni kuandika humu jf na demu ameshakusoma
ndio maana ameamua kukutokea kwa vitendo. Lakini bado unakosa ujasiri wa
kumshushia mistari! Utaendelea kula kwa macho hivyo hivyo!!! Na sisi
hizo rangi za chupi hazituhusi kama vipi usituambie.