Kidogo niumbuke- Kazidondosha nikishuhudia!

Kidogo niumbuke- Kazidondosha nikishuhudia!

Mmmh!
Mi naona huyu mdau huwa anataka mzigo, ila sasa jinsi ya kusema 'give it to me' ndo anashindwa!
Au,
Labda huwa zinadondoka bahati mbaya! Usidhani umedondoshewa wewe bana!
 
Sasaa kanga zinavyodondoka unakuwa unaona peke yako au na wapita njia wengine? Au wapangaji wengine km ni home?
 
anadondosha kangaaa?? asa si uwe unamuokotea na kumfunga vizuri, then unamwambia ajiheshim maana nyege zisizo na msimu zitamuua!!!loooo midada mingneee ovyoooo
 
Duh sawa ww kibogoyo kwa maelezo yako ila ht maini unashindwa kula aaaarrrgh toa location nihamie hapo mtaani kwako.
 
...loh kule uswazi kwetu ni kawaida sana hii,watu kuoga nje,choo pasport size,watu kuvunja amri ambayo kila mtu anaijua ni ya ngapi, na mengine meengi mpaka mioyo yetu haistuki tena...
 
Raha ya swala umuwinde wewe! Tangu lini SIMBA AKAWINDWA NA SWALA!!!!!!!!!????
Nishawinda nikakamata wangu bila kusababisha majeraha, nimejifugia mwenyewe, kila nikitaka maziwa ya swala nakamua bila hofu!


Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Aisee sa hizo kanga anapodondosha mnakuwa nyie wawili tu..........
Huwa anakuwaga makini, si unajua uswazi njia zenyewe zilivyobana! Full vichochoro, sa kuna ka kichochoro hawapiti watu weeengi na nakapenda maana ni short cut kutoka kwangu huwa nakutana nae mara kadhaa sa anajitahidi kuweka mtego wa sungura eti amnase simba!wapi na wapi?


Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Siku nyingine akidondosha kanga na wewe dondosha suruali ili wote muwe level sawa mambo ya kuumizana siyo mazuri kabisa

Dawa ya moto ni maji bana, akizidondosha mi nakaza mkanda! Hapa ni kuvaa jinzi tu!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Yaani huyo "ke" anadondosha khanga akikuona wewe tu?!
Kwahiyo huwa anakuvizia wewe tu akuonyeshe hiyo kitu?!
Utakuwa na bahati mbaya. Mkosi huo. Kemea.

Best sijui aisee mara ya kwanza tulikuwa wawili! Naamini ni mkosi aisee!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom