Wale madogo mnaosubiria posts anzeni kujianda maana mnatakiwa shuleni tarehe tajwa hapo
source;jikoni zinapopikwa posts.
Wale madogo mnaosubiria posts anzeni kujianda maana mnatakiwa shuleni tarehe tajwa hapo
source;jikoni zinapopikwa posts.
lakini naona bado hawajaweka post za shule watakazo enda
Wale madogo mnaosubiria posts anzeni kujianda maana mnatakiwa shuleni tarehe tajwa hapo
source;jikoni zinapopikwa posts.
Mkuu madogo wanasubili kwa ham maana wamechoka kusugua bechi
kweli we mpigamsuli
ndo mimi
Ha2ja choka wala nini wacha twende huko tukiwa na mabonge
Kiongozi wajiandae vp! Na post hawajatumiwa! Au huu mwaka wanajiamulia shule unayotaka unaenda!!!, Nahic hilo jiko nilile wanaloandalia VIROBA!