Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,529
Jamani naona aibu, ati Rais anadai alikuwa anacheza kidali po na maaskofu na mashekhe kuhusu Takrima!
Ukisikia mtu mzima hovyo, ndiye huyu anayelishikilia kasia la kuiongoza Tanzania.
Yaani Rasi mzima unaleta malani kwenye kitu ambacho hakihitaji masikhara? Tena unamtumia Tendwa kudai ulikuwa unatania mambo ya kurunzi na mienge kule UchiGani(sic)?
Kaeni na li Rahisi lenu juhajuha!
Ukisikia mtu mzima hovyo, ndiye huyu anayelishikilia kasia la kuiongoza Tanzania.
Yaani Rasi mzima unaleta malani kwenye kitu ambacho hakihitaji masikhara? Tena unamtumia Tendwa kudai ulikuwa unatania mambo ya kurunzi na mienge kule UchiGani(sic)?
Kaeni na li Rahisi lenu juhajuha!