Kidali Poo, Malani Malani ya Nkwere!

Kidali Poo, Malani Malani ya Nkwere!

Teh teh..............

Twende twende.............Sura kaa Goti
 
Nyani,

Hukusikia juzi akiongea na mashekhena maaskofu alidai Takrima ni vigumu kuondoka akaleta mfano wa Wachagga na Kitochi? Sasa Tendwa na Salva wanadai eti alikuwa anatania... WTF!

yeah, WTF... that sums up everything!!
 
Twende twende........Muone kule,mdomo kaa unapuliza moto.....(kaa Mzee Panga la Shaba vile)
 
Twende twende..................Mikono imekomaa kaa mchimba Makaburi
 
twende.. twende... vidole kama tangawizi!!
 
Ngoja nisome Sura ya 4 ya Kumbatio la mwenye makosa kwanza...Be right back
 
Back
Top Bottom