Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,476
- 4,754
twende twende.. umekomaa hadi ukitema mate yanadunda!
Twende twende.......Kichogo kaa alama ya kuuliza(question mark)
twende twende.. umekomaa hadi ukitema mate yanadunda!
twende twende.. midomo imepinda hadi ukicheka inapiga miluzi!
Nyani,
Hukusikia juzi akiongea na mashekhena maaskofu alidai Takrima ni vigumu kuondoka akaleta mfano wa Wachagga na Kitochi? Sasa Tendwa na Salva wanadai eti alikuwa anatania... WTF!
hahahaaaaaaaaa... twende, twende... miguu ka miti ya genge!Twende twende........Kichwa kaa mbayuwayu
hahahaaaaaaaaa... twende, twende... miguu ka miti ya genge!
really bad that we end up mocking...
si wamesema Rais anapenda matani..
twende twende.. uso umejikunja hadi mtoto akikuona analia mwenyewe...
si wamesema Rais anapenda matani..
twende twende.. uso umejikunja hadi mtoto akikuona analia mwenyewe...
twende twende.. kofia ka' imechorwa na madenge..
tena ana utani hadi na viongozi wa dini
twende... tumbo ka' vigoma vya daku!