Kidali Poo, Malani Malani ya Nkwere!

Nyani,

Hukusikia juzi akiongea na mashekhena maaskofu alidai Takrima ni vigumu kuondoka akaleta mfano wa Wachagga na Kitochi? Sasa Tendwa na Salva wanadai eti alikuwa anatania... WTF!

yeah, WTF... that sums up everything!!
 
Twende twende........Muone kule,mdomo kaa unapuliza moto.....(kaa Mzee Panga la Shaba vile)
 
Back
Top Bottom