Kick ya Madini na Picha za Tundu Lissu

GUSSIE

JF-Expert Member
Dec 2, 2014
3,866
11,100
Kick ya madini jana imetumika kuzima mjadala wa afya na picha za tundu lisu

Wana JF, Hakuna kisichopangwa ile trend ya habari za lissu iliwashutua sana mamlaka wakaamua kulazimisha timu ya majadiliano wafike mwisho au hitimisho.
Ndio maana Taita mwenyewe ze Big boss amekiri mwenyewe kuwa walipofika pale kwenye press bado walikaa masaa matatu kujadiliana wafikie muafaka.
Mawasilisho au presentation itakayofanywa na wale wakata umeme kwenye Board ndio itatoa jibu kamili

Ndio maana pale kwenye press kundi kubwa la wajumbe hawakuwepo ile ilikuwa dharula
Mamlaka imesoma upepo ulivyokuwa unavuma umeona kama mtu yule wa Nairobi ataharibu Front page za habari hivyo wameamua kuzima zile picha kwa kick ya madini kitu ambacho hakitasaidia
Ni rahisi kuficha uwongo kuliko kuficha ukweli, Ukweli unajidhihirisha kwa time factor, kila muda unapoenda ukweli hujulikana,
Cha kusikitisha mkalimani alitafsiri maongezi ya Thorton yaliyolazimishwa ndani ya masaa matatu lakini yale ya Kiswahili hayakutafsiriwa kwenda Kiingereza weka kiulizo kwanini? Mmmh au zilikuwa chai kutufurahisha
 
Pale yalikuwa maigizo

Mzungu anasema pending upon approval.... Independent share holders

Mkalimani anasema makubaliona yamekamilika....sio kweli

Mnikulu tumeshinda fedha zitaenda kuhudumia jamii.....kwani teyari, sibado
 
Kick ya madini jana imetumika kuzima mjadala wa afya na picha za tundu lisu

Wana JF, Hakuna kisichopangwa ile trend ya habari za lissu iliwashutua sana mamlaka wakaamua kulazimisha timu ya majadiliano wafike mwisho au hitimisho.
Ndio maana Taita mwenyewe ze Big boss amekiri mwenyewe kuwa walipofika pale kwenye press bado walikaa masaa matatu kujadiliana wafikie muafaka.
Mawasilisho au presentation itakayofanywa na wale wakata umeme kwenye Board ndio itatoa jibu kamili

Ndio maana pale kwenye press kundi kubwa la wajumbe hawakuwepo ile ilikuwa dharula
Mamlaka imesoma upepo ulivyokuwa unavuma umeona kama mtu yule wa Nairobi ataharibu Front page za habari hivyo wameamua kuzima zile picha kwa kick ya madini kitu ambacho hakitasaidia
Ni rahisi kuficha uwongo kuliko kuficha ukweli, Ukweli unajidhihirisha kwa time factor, kila muda unapoenda ukweli hujulikana,
Cha kusikitisha mkalimani alitafsiri maongezi ya Thorton yaliyolazimishwa ndani ya masaa matatu lakini yale ya Kiswahili hayakutafsiriwa kwenda Kiingereza weka kiulizo kwanini? Mmmh au zilikuwa chai kutufurahisha
Ngoja nitafakari nitarudi, niaminivyo si rahisi kumtumia mzungu kwa manufaa ya kisiasa!
 
Time will always defeat a lie.

Nimeyapenda haya majibizano ya ccm na serikali upande mmoja na upinzani na wengineo upande wao!
 
Kick ya madini jana imetumika kuzima mjadala wa afya na picha za tundu lisu

Wana JF, Hakuna kisichopangwa ile trend ya habari za lissu iliwashutua sana mamlaka wakaamua kulazimisha timu ya majadiliano wafike mwisho au hitimisho.
Ndio maana Taita mwenyewe ze Big boss amekiri mwenyewe kuwa walipofika pale kwenye press bado walikaa masaa matatu kujadiliana wafikie muafaka.
Mawasilisho au presentation itakayofanywa na wale wakata umeme kwenye Board ndio itatoa jibu kamili

Ndio maana pale kwenye press kundi kubwa la wajumbe hawakuwepo ile ilikuwa dharula
Mamlaka imesoma upepo ulivyokuwa unavuma umeona kama mtu yule wa Nairobi ataharibu Front page za habari hivyo wameamua kuzima zile picha kwa kick ya madini kitu ambacho hakitasaidia
Ni rahisi kuficha uwongo kuliko kuficha ukweli, Ukweli unajidhihirisha kwa time factor, kila muda unapoenda ukweli hujulikana,
Cha kusikitisha mkalimani alitafsiri maongezi ya Thorton yaliyolazimishwa ndani ya masaa matatu lakini yale ya Kiswahili hayakutafsiriwa kwenda Kiingereza weka kiulizo kwanini? Mmmh au zilikuwa chai kutufurahisha
ankal, Acha kuchanganya Habari. kwahiyo unadhani Prof Thornton amelazimishwa kusimama mbele Ya camera? Prof amefafanua itifaki yao Ya utekelezaji kuwa makunaliano yaliyofikiwa ni lazima yakapate baraka za wenye kampuni, hii ndo itifaki halisi ambayo ni sawa na kama hapa kwetu tungesema kuwa makubaliano tuliyofikiwa lazima yakapate baraka za bunge (kama kamati iliundwa na bunge) kabla Ya utekelezaji.


mwache Lisu auze Magazeti lakini ujue mikataba Ya madini imebadilika tofauti na matamanio Ya Lisu.
 
Pale yalikuwa maigizo

Mzungu anasema pending upon approval.... Independent share holders

Mkalimani anasema makubaliona yamekamilika....sio kweli

Mnikulu tumeshinda fedha zitaenda kuhudumia jamii.....kwani teyari, sibado
Bwembwe nyingi kumbe hamna kitu,tumejizalilisha dunia nzima
 
Back
Top Bottom