Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,492
- 92,914
Kwani unadhani kule Mwadui hatuna share?Ha ha ha,mi nashangaa mnabishana nini,wakati mda utatwambia,
si mwezi ujao tunaanza kuingiza asilimia 50 ya faida ya migodi yote ya barrick,
tutaisha kama macelebrite wa califonia,
just wait
Bora wewe unajitambuwa siku hizi ccm wenzako wanaishi kama maiti, kufuta tongotongo ulaya kumekusaidia, na ukionja nguruwe huko hata ule ujahidina wako utaacha.