Imekuwa bahati nzuri leo; nilikuwa nawachanganya, kumbe ni watu wawili tofauti!
Huyo mwenzako naona yuko ngazi ya chini kabisa ya ufahamu. Ni mjinga; halafu kachanganyikiwa na udini humo humo.
Tazama ujinga kama huu hapa. Unaweza kukisia kuwa huyu mtu kuna jambo analolielewa sawasawa?
namfikiaje mlevi sasa kwa mfano na wewe?Coward of the circus..! Humfikii hata robo kwenye lolote.. Labda hizo kejeli
