Kichomi cha Dr. Kitima Phd.. Bado yupo sana

Kichomi cha Dr. Kitima Phd.. Bado yupo sana

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
371,100
Reaction score
859,273
Ndio man of the match mpaka sasa.. Nyota wa mchezo

Kwa nafasi yake TEC angeweza kuteua mwinginr kuongoza wanazuoni waseja kwenda Dodona ikulu ndogo kukumbushia nyaraka zao za nyuma ama kuzifafanua kwa waliojipachika madaraka

Hiyo inaitwa ... Usiyempenda kaja... Kaongoza vema jopo la wasomi nguli.... Na baada ya siku mbili tatu ndiye kajitokeza kwenye vyombo vya habari kutoa mrejesho na kufafanua yaliyojiri

The same day kukawa na mechi ya watani wa jadi ikiambatana na tamasha la Kizmkaz!
Kwa mshangao na taharuki kuu.. Yote hayo hayakuweza kumfunika Fr. Dr. Kitima na TEC.. Kumbuka sirikali yote haramu ilikuwa kizmkaz.. Hivyo sehemu kubwq ya vyombo vya habari vilikuwa huko!
Tunamaliza wiki kea kishindo cha tatu bila.. TEC vs chama cha majambazi
78eb6dea-8e16-4e64-9531-f8274beefb23.jpeg
 
Wenzio wanaongoza nchi ,nyie mnapiga kelele..😅😅Poleni sana ,TEC na CHADEMA kufanya mapinduzi imeshindikana sasa mnabweka ... Tatizo sio wajanja .
 
Ndio man of the match mpaka sasa.. Nyota wa mchezo
Kwa nafasi yake TEC angeweza kuteua mwinginr kuongoza wanazuoni waseja kwenda Dodona ikulu ndogo kukumbushia nyaraka zao za nyuma ama kuzifafanua kwa waliojipachika madaraka

Hiyo inaitwa ... Usiyempenda kaja... Kaongoza vema jopo la wasomi nguli.... Na baada ya siku mbili tatu ndiye kajitokeza kwenye vyombo vya habari kutoa mrejesho na kufafanua yaliyojiri

The same day kukawa na mechi ya watani wa jadi ikiambatana na tamasha la Kizmkaz!
Kwa mshangao na taharuki kuu.. Yote hayo hayakuweza kumfunika Fr. Dr. Kitima na TEC.. Kumbuka sirikali yote haramu ilikuwa kizmkaz.. Hivyo sehemu kubwq ya vyombo vya habari vilikuwa huko!
Tunamaliza wiki kea kishindo cha tatu bila.. TEC vs chama cha majambaziView attachment 3650822
Mama yenu saa hizi akikupiga na kesi ya ugaidi, anaenda nyumbani kwako, anang'oa umeme, anakung'olea na huduma ya maji safi.
 
Wenzio wanaongoza nchi ,nyie mnapiga kelele..😅😅Poleni sana ,TEC na CHADEMA kufanya mapinduzi imeshindikana sasa mnabweka ... Tatizo sio wajanja .

Ni kweli nchi inaongozwa. Tunapenda kujua pia inaongozwaje kwa kusikia maoni tofauti tofauti. Na katiba inaruhusu by the way.

Halafu, kuna short and long term goals. Haya nayo yatapita kwa haraka kama upepo. Ila historia kama kawaida yake inayaandika na kuhakikisha vizazi hata vizazi wanaelewa mtiririko mzima wa uwepo wa Taifa letu.
 
Ni kweli nchi inaongozwa. Tunapenda kujua pia inaongozwaje kwa kusikia maoni tofauti tofauti. Na katiba inaruhusu by the way.

Halafu, kuna short and long term goals. Haya nayo yatapita kwa haraka kama upepo. Ila historia kama kawaida yake inayaandika na kuhakikisha vizazi hata vizazi wanaelewa mtiririko mzima wa uwepo wa Taifa letu.
Ina maana hujui tu waliopanga njama ya kipindua nchi ? Taifa litaendelea kuwepo salama mpaka pale chama cha upinzani kisiwe cha kanisa ,kiwe cha watu wote ndiyo kinaweza kupewa nchi.
 
Ina maana hujui tu waliopanga njama ya kipindua nchi ? Taifa litaendelea kuwepo salama mpaka pale chama cha upinzani kisiwe cha kanisa ,kiwe cha watu wote ndiyo kinaweza kupewa nchi.
Siwajui maana mimi sio mtu wa usalama. Nilisikia Lisu ana kesi ya uhaini ambayo hata sijui inaendeleaje? Kina nani hao waliopanga kupindua nchi? Na kwanini hawashughulikiwi?
 
Siwajui maana mimi sio mtu wa usalama. Nilisikia Lisu ana kesi ya uhaini ambayo hata sijui inaendeleaje? Kina nani hao waliopanga kupindua nchi? Na kwanini hawashughulikiwi?
Kesi yake iko wazi ni vile serikali kama inamuonea huruma ,ila yeye anajifanua kichwa ngumu..Iko wazi analeta utoto ,eti kukinukisha harufu nzuri 😅😅😅Utoto huu .
 
Waoooo 😂😂.. Kumbe sio mara ya kwanza. Kweli chura kiziwi anazaa watoto viziwi.
 
Na anakazia kiume na kisomi kwamba TEC haikuitwa ila TEC ndiyo waliomba mazungumzo!
 
Ndio man of the match mpaka sasa.. Nyota wa mchezo

Kwa nafasi yake TEC angeweza kuteua mwinginr kuongoza wanazuoni waseja kwenda Dodona ikulu ndogo kukumbushia nyaraka zao za nyuma ama kuzifafanua kwa waliojipachika madaraka

Hiyo inaitwa ... Usiyempenda kaja... Kaongoza vema jopo la wasomi nguli.... Na baada ya siku mbili tatu ndiye kajitokeza kwenye vyombo vya habari kutoa mrejesho na kufafanua yaliyojiri

The same day kukawa na mechi ya watani wa jadi ikiambatana na tamasha la Kizmkaz!
Kwa mshangao na taharuki kuu.. Yote hayo hayakuweza kumfunika Fr. Dr. Kitima na TEC.. Kumbuka sirikali yote haramu ilikuwa kizmkaz.. Hivyo sehemu kubwq ya vyombo vya habari vilikuwa huko!
Tunamaliza wiki kea kishindo cha tatu bila.. TEC vs chama cha majambazi :pedroP: View attachment 3650822
kwamba Kitima huyu huyu mlevi ndio kichomi?:pedroP:
 
Kesi yake iko wazi ni vile serikali kama inamuonea huruma ,ila yeye anajifanua kichwa ngumu..Iko wazi analeta utoto ,eti kukinukisha harufu nzuri 😅😅😅Utoto huu .

Kwanini inamuonea huruma? Kesi kama hizi za mpaka ugaidi ziko ngapi?

Interesting.....😂😂😂😂
 
Kwanini inamuonea huruma? Kesi kama hizi za mpaka ugaidi ziko ngapi?

Interesting.....😂😂😂😂
Imekuwa bahati nzuri leo; nilikuwa nawachanganya, kumbe ni watu wawili tofauti!

Huyo mwenzako naona yuko ngazi ya chini kabisa ya ufahamu. Ni mjinga; halafu kachanganyikiwa na udini humo humo.
Kesi yake iko wazi ni vile serikali kama inamuonea huruma ,ila yeye anajifanua kichwa ngumu..Iko wazi analeta utoto ,eti kukinukisha harufu nzuri 😅😅😅Utoto huu .
Tazama ujinga kama huu hapa. Unaweza kukisia kuwa huyu mtu kuna jambo analolielewa sawasawa?
 
Imekuwa bahati nzuri leo; nilikuwa nawachanganya, kumbe ni watu wawili tofauti!

Huyo mwenzako naona yuko ngazi ya chini kabisa ya ufahamu. Ni mjinga; halafu kachanganyikiwa na udini humo humo.

Tazama ujinga kama huu hapa. Unaweza kukisia kuwa huyu mtu kuna jambo analolielewa sawasawa?

Mwenyezi Mungu atusamehe na kutuhurumia. Taifa linajengwa kwa misingi ya haki, sheria na taratibu. Vinginevyo ni kujitafutia majanga. Dunia nzima inatucheka sababu ya ujinga wetu. Lakini bado tunakomaza shingo tu.

Kama njia zinazotumika sasa za kuendesha mambo ndio njia sahihi, basi tumekwama....tunakosea sana
 
Back
Top Bottom