Wimbo JF-Expert Member Joined Oct 23, 2012 Posts 886 Reaction score 664 Nov 20, 2012 #41 Huyo mpigapicha afunguliwe mashtaka, anamdhalilisha rais wetu wa 2015 akome kabisa
amkawewe JF-Expert Member Joined Dec 9, 2011 Posts 2,021 Reaction score 528 Nov 20, 2012 #42 Makamba huyo amewachanganya na maneno.
masopakyindi Platinum Member Joined Jul 5, 2011 Posts 18,410 Reaction score 14,119 Nov 21, 2012 #43 Mkuu rombo said: aiseeeeeeee babaangu hapa atakuwa ametowa gass ya kunuka manake alivyoinua mguu sijui Click to expand... Malezi machafu huzaa mawazo machafu Ndugu yangu una kazi kubwa kustaarabika.
Mkuu rombo said: aiseeeeeeee babaangu hapa atakuwa ametowa gass ya kunuka manake alivyoinua mguu sijui Click to expand... Malezi machafu huzaa mawazo machafu Ndugu yangu una kazi kubwa kustaarabika.
Mandown JF-Expert Member Joined Apr 8, 2012 Posts 1,665 Reaction score 507 Nov 21, 2012 #44 Baba V said: e banaa ee! kulikuwa na haja gani ya kunyanyua huo mguu?? Click to expand... alikuwa anatafuta fursa ya KUJAMBA
Baba V said: e banaa ee! kulikuwa na haja gani ya kunyanyua huo mguu?? Click to expand... alikuwa anatafuta fursa ya KUJAMBA
Negrodemus JF-Expert Member Joined Dec 30, 2010 Posts 2,318 Reaction score 688 Nov 21, 2012 #45 hii tabu ya kuwa mshikiria gia hapo unakuta baba mwanaasha aliongea kakitu kadogo tu kuonyesha wanamsapoti ndio hayo yametokea ni umbea tu lakini
hii tabu ya kuwa mshikiria gia hapo unakuta baba mwanaasha aliongea kakitu kadogo tu kuonyesha wanamsapoti ndio hayo yametokea ni umbea tu lakini
Mkuu rombo JF-Expert Member Joined Oct 18, 2012 Posts 1,556 Reaction score 422 Nov 21, 2012 #46 aiseee babaangu hayo malezi machafu kapewa pinda hiyo ni tabia gani kucheka na kuinua miguu
ndetichia JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,769 Reaction score 6,585 Nov 22, 2012 #48 Kivumah said: Click to expand... huu ni mlalo wa kibonge nyanya..