NgugiAchebe
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 1,025
- 688
Baada ya Diamond kupata mafanikio kupitia lebo yake ya WCB sasa nimesikia kwenye redio Alikiba akisema ana lebo yake inaitwa king record amesajili baadhi ya wasani mama Jokate, Dimpoz any skz na Abdul Kiba.
Na Baraka deprince ameanzisha lebo yake na tayari amesajilu wasanii mama Najma na wasanii wengine wa Mwanza
Nikabaki nacheka bongo apaishi vituko
Na Baraka deprince ameanzisha lebo yake na tayari amesajilu wasanii mama Najma na wasanii wengine wa Mwanza
Nikabaki nacheka bongo apaishi vituko