Lini uliona CHADEMA wakijibishaba na CUF?
Tupe mfano mmoja tu.
Yani kamkutano kamoja mnataka muutumie kitishia chama chenye wabunge wawili Wa kuchaguliwa Dar? Tena waluopata kura nyingi kuliko wabunge wote wa ccm dar kwa ujumla wao??!!
Hii ni akili ya wapi hii??!
Pia si sawa kwa mpinzani wa kweli kumpinga mpinzani mwenzie. lengo ni kuondoa sisisem, so wapinzani should have one strong point ! siyo kupondana wao kwa wao !