Nakuunga mkono 100%. The Prof is tired. By the way will he run in 2015?
Wewe jamaa naona unalialia bila hoja umegeuka mshauri wa vyama vya siasa, washauri Chadema kwa nini wamejichaguwa wenyewe bungeni kama wanajuwa kuwa kuna wapinzani wengine kwa nini wamejitenga, hivi ni vita kila chama kinakuja na njia yake, wewe unataka CUF, NCCR Mageuzi, UDP, waisifie Chadema, wakati hao hao Chadema wanasema Tanzania hakuna chama cha upinzani zaidi ya Chadema tu...endelea na kichefuchefu chako mkuu.
Nawashauri CDM wasimjibu chochote huyu prof.
Nakuunga mkono 100%. The Prof is tired. By the way will he run in 2015?
sidani kama ushauri wako huu utazingatiwa na mpenda media wenu dk slaa,lazima ataitisha press com. na kudai lipumba hafai hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi
hahahaaaaaaaaaaaaa.....Prof. Shoddy I. Lipumba, PHD (spouse - Janjaweed)
Wewe jamaa naona unalialia bila hoja umegeuka mshauri wa vyama vya siasa, washauri Chadema kwa nini wamejichaguwa wenyewe bungeni kama wanajuwa kuwa kuna wapinzani wengine kwa nini wamejitenga, hivi ni vita kila chama kinakuja na njia yake, wewe unataka CUF, NCCR Mageuzi, UDP, waisifie Chadema, wakati hao hao Chadema wanasema Tanzania hakuna chama cha upinzani zaidi ya Chadema tu...endelea na kichefuchefu chako mkuu.
Wao na Mme wao CCMABWEPANDE wamedhihirisha mrengo wa Udini..barakashia tupu
.............. Hoja zake za UISLAMU na CUF hazikumzuia kuanguka mara 4 kwenye kugombea Uraisi, bado anazirudia tena?!!
Wewe jamaa naona unalialia bila hoja umegeuka mshauri wa vyama vya siasa, washauri Chadema kwa nini wamejichaguwa wenyewe bungeni kama wanajuwa kuwa kuna wapinzani wengine kwa nini wamejitenga, hivi ni vita kila chama kinakuja na njia yake, wewe unataka CUF, NCCR Mageuzi, UDP, waisifie Chadema, wakati hao hao Chadema wanasema Tanzania hakuna chama cha upinzani zaidi ya Chadema tu...endelea na kichefuchefu chako mkuu.
Ni wakati wa kumwacha hata mwingine ajaribu. Anafaa sana kuwa Waziri wa Uchumi au Mshauri wa rais katika uchumi lakini kuwa Rais I have my doubts!
Kwani wana tofauti gani na chadema na mfumo kristo?
Kama itakavoanguka chadema na hoja zake za mungu akutangulie, na mengine meeengi,..mark my words chadema haitashinda na udini wake , labda mbadilike .