democratic
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 1,642
- 295
huo mkutano ulikuwa msikiti gani wa ijumaa hapo jangwani?
huo mkutano ulikuwa msikiti gani wa ijumaa hapo jangwani?
Leo Profesa katamka vitu sikutegemea kabisa, hizo ni kauli za watu kama Mtatiro, Kambaya na wengine. Hivi anaamini kabisa kwamba CDM, na siyo polisi ndiyo husababisha vifo kwenye mikutano? Au hii anasema kwa CDM tu na si chama chake?
Anasahau kijiji cha Shumba Mjini huko Zanzibar mwaka 1993 wakati polisi walipomuuwa mwanaCUF aliyekuwa akipandisha bendera ya chama chake katika ufunguzi wa tawi?
Anasahau January 2001 pale makumi ya wanaCUF walipouawa na risasi za polisi huko Pemba katika maandamano ya amani?
Kufuatana na kauli ya Prof leo -- ina maana matukio hayo yote mawili yalitokana na CUF kufanya fujo?
Anasahau alivyovunjwa mkono na polisi wakati anaresist kukamatwa katika kampeni za mwaka 2000? Bahati hakukutokea maafa, lakini ni CUF ndiyo walifanya fujo?
Inakuwaje leo hii Profesa anawaona polisi hawana hatia wakati vifo vinatokea mikutanoni, hatia ni vyama?
Nilikuwa naona kwamba Prof ni only a reasonable person amebakia katika CUF, kumbe sasa nina mashaka sana, naye ameanza kusombwa na siasa za kihovyo hovyo tu.
Ipo siku huko huko itaota miti mingine. Kwani CDM mwenyekiti wao si alikuwa mvaa heleni? lakini haukuwa mti bahati nzuri ikaja kuota miti mingine ambayo imefanya CDM kuwa msitu wa kutumainiwa.Kwa yeyote aliutazama mkutano wa CUF, na kusikia hotuba za viongozi wa CUF, atakubaliana nami kwamba CUF ina ombwe kubwa la viongozi weledi wa siasa za sasa bila ya Ibrahim Lipumba! Ibrahim Lipumba alizungumzia vema matatizo ya kiuchumi, kijamii na kisiasa ya watanzania na alijaribu kweli kweli kutoa dira! Ila viongozi wengine wote (ila labda Mtatiro) wamebaki kwenye siasa za chuki na udini! Lipumba anapoteza ueledi wake wa siasa za kiuchumi CUF!
He's been trying for four times and being bitten,naona hakutumia busara kusema kuwa CDM ni wa fujo huyu haelewi.source ya fujo ni nini.
Binafsi najua source ya fujo kwenye mikutano ya CDM ni Viongozi wa serikali ambao hutoa amri kuvunjwa kwa mikutano,kuanza kurusha mabomu
Kwa yeyote aliutazama mkutano wa CUF, na kusikia hotuba za viongozi wa CUF, atakubaliana nami kwamba CUF ina ombwe kubwa la viongozi weledi wa siasa za sasa bila ya Ibrahim Lipumba! Ibrahim Lipumba alizungumzia vema matatizo ya kiuchumi, kijamii na kisiasa ya watanzania na alijaribu kweli kweli kutoa dira! Ila viongozi wengine wote (ila labda Mtatiro) wamebaki kwenye siasa za chuki na udini! Lipumba anapoteza ueledi wake wa siasa za kiuchumi CUF!
shoddy........
Mie naona bora tuwaache wote waliowahi kugombea nafasi ya uraisi miaka yote ya nyuma. Hivi hakuna watu wengine katika vyama wenye sifa za kugombea? Kurudiarudia sio siri wanatuboa. Nahisi ndiyo inawafanya wajihisi kama nafasi ya uraisi na vyama ni mali yaoNi wakati wa kumwacha hata mwingine ajaribu. Anafaa sana kuwa Waziri wa Uchumi au Mshauri wa rais katika uchumi lakini kuwa Rais I have my doubts!
uelewa wako ni wa kiwango cha chini kabisa,soma kijana,achana na stori za vijiwe vya kahawa!Balaghashia ndo zilopigania uhuru nchi hii massaun hajakosea kwa sbb wapigania uhuru wa nchi hii wengi walikua waislam ni jambo la kawayda waislam ndo wamepigania uhuru sasa hv mnawaona wajnga? wapigania uhuru kama 1-Abdulwahid sykes 2-Dosa Aziz 3-Suleiman Takadir 4-Hassan bin amir 5-Jumbe Tambaza 6-Hamza mwapachu 7-Zubeir mtemvu hao ndo waasis wa TAA hayumo baba yenu...
Sio siri Prof.Lipumba ndie amekuwa mgombea urais kwa tiketi ya chama cha cuf kwa kila chaguzi kuu zinapofanyika.Kinachoshangaza ni kwani huyu msomi hapati kura za kutosha ?