Kichefuchefu cha CUF/Prof. Lipumba Jangwani leo

​Historia inabainisha kuwa ukombozi wa Taifa letu ulianzia Dar-es-salaam na ukamalizikia Dar-es-salaam

Mitandao na maongezi ya watu mitaani yalikuwa yanabainisha na kututaka tuamini kuwa CUF haiko tena hai Tanzania bara.

Mkutano wa leo Jang'wani umetoa kitendawili kipya katika jamii na hasa watu wanaofuatilia siasa za Tanzania. katika hali ya kawaida kwa sasa ni vigumu kukitengua.

Ninadiriki kusema, wafuasi na wapenzi wengi wa vyama vingine vya kisiasa hasa CHADEMA kabla ya mkutano wa leo jang'wani waliamini kama CUF haiko tena Tanzania bara. Mkutano wa leo umewapa taswira mpya na wengi wao mpaka muda huu hawaamini wanachokiona katika television na picha mpaka wanadiriki kusema picha zimechakachuliwa.


Marumbano kwa sasa ni kati ya wapenzi na wanachama wa CUF na CHADEMA kutaka kuiaminisha jamii kipi ni chama chenye wafuasi wengi nchini.

CCM wanafurahia sana haya marumbano na ninaamini wanapenda yaendelee milele kwa vile kwao ni mtaji wa kisiasa. Kwa sasa wako kimya wakiangalia kwa mbali.

Waswahili walisema, vita vya panzi, furaha ya Kunguru na siasa za Tanzania siyo kama tuzijuavyo.

Kwa watu tusiowapenzi na wafuasi wa chama chochote cha kisiasa Tanzania tunazifurahia changamoto kama hizi kwa sababu ni kichocheo chanya cha maendeleo nchini.

Haya ni maoni yangu.
 
Sio siri Prof.Lipumba ndie amekuwa mgombea urais kwa tiketi ya chama cha cuf kwa kila chaguzi kuu zinapofanyika.Kinachoshangaza ni kwani huyu msomi hapati kura za kutosha ?
 
Ni wakati wa kumwacha hata mwingine ajaribu. Anafaa sana kuwa Waziri wa Uchumi au Mshauri wa rais katika uchumi lakini kuwa Rais I have my doubts!
kwa nini unasema unafaa kuwa Waziri wa Uchumi, kwa lipi hasa umefikiaje hapo? embu toa mwanga, kwa maana mimi sijaona cha maana cha kusema anafaa kuwa Waziri wa Uchumi
 
Leo Profesa katamka vitu sikutegemea kabisa, hizo ni kauli za watu kama Mtatiro, Kambaya na wengine. Hivi anaamini kabisa kwamba CDM, na siyo polisi ndiyo husababisha vifo kwenye mikutano? Au hii anasema kwa CDM tu na si chama chake?

Anasahau kijiji cha Shumba Mjini huko Zanzibar mwaka 1993 wakati polisi walipomuuwa mwanaCUF aliyekuwa akipandisha bendera ya chama chake katika ufunguzi wa tawi?

Anasahau January 2001 pale makumi ya wanaCUF walipouawa na risasi za polisi huko Pemba katika maandamano ya amani?

Kufuatana na kauli ya Prof leo -- ina maana matukio hayo yote mawili yalitokana na CUF kufanya fujo?

Anasahau alivyovunjwa mkono na polisi wakati anaresist kukamatwa katika kampeni za mwaka 2000? Bahati hakukutokea maafa, lakini ni CUF ndiyo walifanya fujo?

Inakuwaje leo hii Profesa anawaona polisi hawana hatia wakati vifo vinatokea mikutanoni, hatia ni vyama?

Nilikuwa naona kwamba Prof ni only a reasonable person amebakia katika CUF, kumbe sasa nina mashaka sana, naye ameanza kusombwa na siasa za kihovyo hovyo tu.
 
Lipumba akianza kuhutubia uzinduzi wa mchakamchaka, alianza kwa kauli ... CCm kwisha kabisa, nyang'anyang'a, ndembendembe, kifo cha mende.

Awali Naibu katibu mkuu Julius Mtatiro alibainisha kuwa kifo cha CCM ni kibaya kwa kuwa sasa imefikia mahali pa kupanga mauaji ya wananchi wake.

Hata hivyo kuna tetesi kuwa Operesheni hii ya mchakamchaka ni mbinu ya CCM kuwagawa wananchi ili mwisho wa siku wapige marufuku operesheni zote kwa maelezo kuwa huu si wakati wa kampeni za 2015.

Operesheni Mchakamchaka inajitambulisha wazi kuwa ni kwa ajili ya uchaguzi wa 2015.
 
Sikutarajia kama Mtatiro anaweza kujinadi kuwa wao cuf ni chama makini na CDM wanasababisha vurugu.! inasikitisha sana, nilidhani kwa kuwa upinzani tunaungwa mkono na wananchi walio wengi ili kupambana na ccm basi tungekuwa kitu kimoja kufaigth against magamba. any way, M4C hadi kieleweke!
 
Kila Chama kinapigania roho yake! Watachafuana weeee CCM itapita katikati ya miguu yao ma kuelekea jumba jeupe. CUF na CDM watamegeana kura za upinzani kwa faida ya CCM.
 
Wakuu naona CUF leo wamenzindua operation wanayoiita MCHAKAMCHAKA MPAKA IKULU 2015. Hii imekaaje na mnadadavuaje kuzinduliwa kwa operation hii hasa wakati huu ambapo M4C inatafutiwa kila sababu ya kuzuiwa kuendelea kwa nguvu zote na matokeo yake ndo hayo ambayo tunayashuhudia ikiwemo kifo cha kikatili kabisa cha mwandishi wa habari.

wa ccm

Hebu tulijadili hili kwa mapana wana JF!
inamaanisha copy and paste
 
Sikutarajia kama Mtatiro anaweza kujinadi kuwa wao cuf ni chama makini na CDM wanasababisha vurugu.! inasikitisha sana, nilidhani kwa kuwa upinzani tunaungwa mkono na wananchi walio wengi ili kupambana na ccm basi tungekuwa kitu kimoja kufaigth against magamba. any way, M4C hadi kieleweke!

Wapinzani wanatakiwa wawe kitu kimoja tangia Bungeni. Leo CDM peke yake ndio wapinzani Rasmi Bungeni, nje tuseme wapinzani waungane; wapi na wapi? CUF itaungana vipi na CDM wakati CUF wapo kwenye SUK wakishirikiana na CCM? Au tunataka Zanzibar CUF na CCM na bara CUF na CDM!
 
Mchano juu ya Mkutano wa CUF & Speech Prof. Lipumba

1.Mkutano wa CUF leo Jangwani ulihudhuriawa na watu wengi na Prof. Lipumba alitoa hotuba.

2. Makamu wa Mwenyekiti CUF alisema kuwa kwa vile CCM & CHADEMA wanasema kuwa CUF ni chama cha Waislam basi Waislam wote Tanzania jiungeni na CUF. Pamoja na kwamba usemi huu unaweza kuwa ulitolewa as sarcasm hauna mashiko kwani ingetosha kusema nyote Wakristo kwa Waislam mnakaribishwa CUF. Kiongozi kakosa hekima kwa ku- reinforce kinatuhumiwa. Hii ni kama vile mtu aseme “kwa vile huwa nasingiziwa kuwa natembea na mke wa Fulani, sasa nasema nafanya kweli, Mrs. Fulani tuonane!

3. Prof. Lipumba kaongea issue za maana za kumpunguzia umaskini Mtz lakini ukweli hajatumia fursa ya sasa ya mabadiliko ya Katiba katika kuhamasisha wanachama chake juu ya mambo mengi muhimu yatakayo leta mabadiliko. Kaongea moja tu kuhusu kuwepo kipengelele kinachotamka Wananchi kufaidika moja kwa moja na rasilimali za nchi. Aidha haitoshi kuiombea roho ya marehemu Mwandishi wa habari na kisha mwishoni unamaliza kwa kusema tu kuwa Polisi mmeona sisi CUF tunapokutana hatuna fujo na tunakwenda Arusha kupeleka sera sio fujo / magomvi wala matusi.

Hii kauli imeshusha shule yake babu kubwa ya Uprofesa wa kweli katika uchumi aliyokuwa ameitoa katika kunyanyua uchumi wa nchi maana by implication alikuwa anasema tafuatayo: “ SISI CUF SI KAMA CHADEMA WALETA FUJO WANAOSABABISHA POLISI KUTUMIA NGUVU HADI MAUAJI”

Mark my words!

Nimalizie kwa kusema kuwa VYAMA VYA UPINZANI VINAPOPATA NAFASI MBELE YA WANANCHI NA WAKAJIKITA KATIKA KUPIGANA VIJEMBE WAO KWA WAO, hakika mimi binafsi siwachukulii serious, ni kichefuchefu na mnaonekana vichekesho. Na ukweli ni kwamba unless mkubali kuunganisha nguvu au Katiba ibadilike na kukataa a simple majority Government; CCM itaendelea kuwatawala kwa muda mrefu ujao.
Nadhani watanzania tunatatizo la kutotaka kuuona na kuukubali ukweli! Nani asiyejua kwamba CUF ni chama chenye malengo ya udini? kwanini unashangaa kitu ambacho ulipaswa kukijua miaka mingi iliyopita? Hili linajulikana wazi mkuu hunasababu ya kushangaa leo zaidi ya kumpongeza kwamba at least leo wamelisema hadharani! Ndugu zetu waislam wamedhamiria siku nyingi kuhakikisha malengo yao ya UDINI yanatimizwa, ndio maana haikuwa kazi kuiunganisha ccm na cuf sababu viongozi wao wakuu wote ni wa itikadi hiyo na malengo yao yanafanana. Influence ya uislam wa zanzibar in general ndio tunaiona ikiingia kwa nguvu hata ccm bara kwasababu ya mfanano wa kimalengo wa mabosi wa sasa wa ccm. Swala hapa ni kwa watu wa imani nyingine tofauti na hawa wenzetu kuchukua hatua haraka iwezekanavyo ili kujinusuru na nia mbaya waliyonayo hawa ndugu zetu! Hawa ndugu zetu kwao hakuna siasa bila dini, nilazima kwao dini kuendesha siasa na ndio unachokiona kila mahali duniani ambapo DINI yao imeshika hatamu. Ili uwaridhishe hawa ndugu zetu ni lazima kwanza mkubali utawala wa SHARIA, nchi kuwa mwanachama wa OIC, IJUMAA KUWA SIKU YA MAPUMZIKO, HIJAB KUWA VAZI RASMI LA NCHI, KUTOFUGA NGURUWE, KUVUNJWA KWA MAKANISA YOTE. In short ni kuifanya Tanzania kuwa ISLAMIC STATE KAMA WAFADHILI WAO WA IRAN! Mimi siwashangai hawa mabwana lakini nawashangaa watanzania wengine ambao inawachukua muda mrefu kuwaelewa hawa mabwana SINEMA zao wanazozicheza! Hata issue ya mgombea wa CCM mwaka 2015 utakuja niambia kama tutaendelea kushangaa MZEE WA UTEPE ANAANDALIWA KUCHUKUA KITI , si kwa sababu nyingine bali kuendeleza mazuri yanayoihusu ITIKADI YAO!
Kama kweli unafikiria mageuzi forget about CUF hiyo ni organization nyingine ya uislam kama ilivyo bakwata! There is no difference brother, na ndio maana hakutakuwa na solution ya haya unayoyaona yakizidi kutokea na kukua mpaka tutapoacha unafiki wa nyeupe kuiita nyeusi.Ni lazima hawa ndugu zetu tuwaambie ukweli kwamba tunaijua NIA YENU YA KUISILIMISHA TANZANIA lakini hamuwezi fanikiwa. Ni lazima tuwaambie nchi hii ni yetu sote na tujifunze kutotumiwa na WADINI! Kwa mujibu wa BIBLIA HAKUNA DINI YA HAKI, BALI MTU NDIO ANAWEZA KUWA MWENYE HAKI! NI SWALA LA MTU NA MUNGU WAKE NA SI HABARI YA KUSEMA DINI YETU NDIO YA KWELI NA HAKI! TUACHE IMANI ZETU ZISEME ZENYEWE NA SI KUZIPIGIA DEBE KWA GHARAMA YA KUVUNJA AMANI NA KUUWA WENGINE! NDIO MAANA BWANA MKUBWA YESU ALIWAHI KUSEMA , MTAWATAMBUA KWA MATUNDA YAO NA SI KWA MANENO WANAYOYASEMA! KAMA IMANI YAKO NI YA KWELI NA HAKI ITAJIPIGANIA YENYEWE , LAKINI UKIANZA KUIPIGANIA THERE MUST BE SOMETHING WRONG IN THAT FAITH!
 
Ni wakati wa kumwacha hata mwingine ajaribu. Anafaa sana kuwa Waziri wa Uchumi au Mshauri wa rais katika uchumi lakini kuwa Rais I have my doubts!

nani kachoka zaidi Prof. na Babu Slaa ?
 
Wewe jamaa naona unalialia bila hoja umegeuka mshauri wa vyama vya siasa, washauri Chadema kwa nini wamejichaguwa wenyewe bungeni kama wanajuwa kuwa kuna wapinzani wengine kwa nini wamejitenga, hivi ni vita kila chama kinakuja na njia yake, wewe unataka CUF, NCCR Mageuzi, UDP, waisifie Chadema, wakati hao hao Chadema wanasema Tanzania hakuna chama cha upinzani zaidi ya Chadema tu...endelea na kichefuchefu chako mkuu.

hivi we jamaa hufanyagi kazi na muda wote ipo tu humu JF.
 
Nakuunga mkono 100%. The Prof is tired. By the way will he run in 2015?

He will Mkuu!!! Bado anajipa moyo!!! Ni mdini naye!!!! Mbona Dr. Slaa hajawahi kusema wakristu njooni? Yeye akipiga M4C anatinga wote na wapagani!!! SSM na CUF (the SSM B) mnalo!!
 
Wewe jamaa naona unalialia bila hoja umegeuka mshauri wa vyama vya siasa, washauri Chadema kwa nini wamejichaguwa wenyewe bungeni kama wanajuwa kuwa kuna wapinzani wengine kwa nini wamejitenga, hivi ni vita kila chama kinakuja na njia yake, wewe unataka CUF, NCCR Mageuzi, UDP, waisifie Chadema, wakati hao hao Chadema wanasema Tanzania hakuna chama cha upinzani zaidi ya Chadema tu...endelea na kichefuchefu chako mkuu.

Thanks Ritz, hata wakati ule CUF ina nguvu na kuongoza upinzani Bungeni nao walisema ndiyo chama pekee chenye nguvu na baada ya kufunga ndoa na SSM nguvu ikaisha (Mke anakuwa submissive to husband). Sasa iweje CDM wawe nao katika Bunge wakti CUF nayo wakati ule haikuwapa CDM nafasi? Tusubiri 2015.
 
hivi we jamaa hufanyagi kazi na muda wote ipo tu humu JF.

Mkuu mimi namsifu Ritz kwa kuwa hapa jamvini mara nyingi maana anasaidia ku-neutralize mambo. Kwa kweli namsifu ana mapenzi na mrengo wake na hataki utani. Ohhhh ukigusa Chama cha Mauaji, Mabwepande, udhaifu na ulegelege unalo mkuu maana Ritz atatetea mno, huo ni uzalendo wa chama.
 
Back
Top Bottom