Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,440
- 1,029
Jamaa mmoja alipeana miadi na demu mmoja kijijini.Ilipofika saa 4 usiku,jamaa akajiandaa kisha akaelekea kwenye gheto la yule demu.Alipofika pale,akamkuta mshkaji mwingine akimtongoza yule demu nyuma ya nyumba.Jamaa akaona haina shida,akapanda juu ya mti kusubiri wamalizane ili zamu yake na yeye ifike.Alipopanda juu ya mti,akastaajabu kukutana na mshkaji mwingine naye akisubiri zamu yake ifike.Kilichofuata baada ya hapo..........