Kichaa kwenye kongamano la wanazuoni

Kichaa kwenye kongamano la wanazuoni

Alloyce PR

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2020
Posts
590
Reaction score
706
"Pasipo upepo, mashua haisogei,’ asema huku akiingia kwenye akaunti ya mtu mwingine kama jambazi wa mawazo, kisha anajitangaza kama mjumbe wa taifa. Huyu ni kama kunguru aliyevaa joho la bundi, anadhani mwenye hekima, kumbe ni kichaa anayejitambulisha kwenye kongamano la wanazuoni!"
Alloyce, P.R.
 
"Pasipo upepo, mashua haisogei,’ asema huku akiingia kwenye akaunti ya mtu mwingine kama jambazi wa mawazo, kisha anajitangaza kama mjumbe wa taifa. Huyu ni kama kunguru aliyevaa joho la bundi, anadhani mwenye hekima, kumbe ni kichaa anayejitambulisha kwenye kongamano la wanazuoni!"
Alloyce, P.R.
No reform No election
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom