Konakali
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 1,533
- 263
Hahahaha....! Hii nimeipenda, maana kweli mtoto umleavyo ndivyo akuavyo....!Nshapigwa saa 3 baada ya kumake love,akanambia uhusiano hauna future,then nikapigwa siku 3 baada ya uhusiano mtoto akanambia simjali,nshapigwa tena na mtu akanambia tuvunje uhusiano,nkambia poa,akaguna kumbe alikua anatania,mi nikamaanisha maana nshazoea