manizzle
JF-Expert Member
- Apr 29, 2015
- 3,421
- 4,323
Mweeeeh! Hufai kwa matumizi ya binadamu
Usigope hizo ni enzi za damu inachemka siku hizi kwishinei. Kwanza hata ule mzuka kama wa kipindi kile sana. Yaani nimefanya sana hadi nimekinai. Nikiwaoroshesha hapa unaweza sema labda wanajiandikisha kwa njia ya BVR