Kwasasa Poleple sio Humphrey tuu Bali Poleple ni taasisi Sasa kwani ameshajibrand kwa zaid ya 5years hvyo ujue tofauti ya kudeal na mtu na kudeal na jina ni sawa unavyomsikia January makamba yule sio mtu tayari ashakua taasisi.
Hvyo kudeal na watu wa namna hii lazima utumie akili kubwa vinginevyo unaeza jichanganya ukashangaa unampa uteuzi au ukamtoa sehemu ukidhan utamuumiza au utamtuliza kumbe ndo umempa ushajaa.