Dada weekend hii tupate hata wine dada yangu kipenziTulia mwana uto ya Simba waachie wenyewe...
Dada weekend hii tupate hata wine dada yangu kipenziTulia mwana uto ya Simba waachie wenyewe...
Tafuta hela wewe ****, acha kukaa kwa dada yako hapo unamjazia nzi tu. Mtu mwenyewe unajiita MWEHU..Kibu Denis anamvuto gani wa kibiashara? Au unamaanisha anawauzia kina Mangungu dawa za mvuto toka congo? Mtu hana hata ubalozi wa chupi za karatasi, ebu toa pumba zako hapa..mbuzi mmoja wewe
Nimesoma your last sentence nikaona utakuwa kolo maana lugha iliyobaki kolokoloni ni matusi tu jamaa wamejaa sumu 7-2 zinauma asikwambie mtu, binafsi naona Kibu D hayuko timu sahihi tu ila ni bonge la straika, timu sahihi kwake ni uto , huku hatuhitaji takwimu, hatuhitaji afunge, tunachotaka ni maguvu yake tu, kukuru kakara zake ni muhimu ili wengine wafunge.Kibu Denis anamvuto gani wa kibiashara? Au unamaanisha anawauzia kina Mangungu dawa za mvuto toka congo? Mtu hana hata ubalozi wa chupi za karatasi, ebu toa pumba zako hapa..mbuzi mmoja wewe
Aisee!!Nilicheka sana, Baada ya taarifa za kibu Denis kuwagomea makolo kusaini mkataba mpya kisha baadae wakala wake akaingiza siasa za kwamba tapeli hilo la söka linatakiwa na mabingwa wa nchi, Yanga sc!
kibu Denis hana thamani ya milioni 300 wala mshahara wa laki 9 kwa mwezi achilia mbali mil 15 anayotaka, huyu ni mchezaji wa kawaida sana tena zaidi ya sana, ebu fikiria huyu ni mchezaji anayecheza nafasi ya ushambuliaji ila cha ajabu msimu mzima 2023/2024 amecheza mechi 20 za ligi na kufunga goli moja na assist mbili. unasumbuliwaje kichwa na mchezaji wa namna hii?. Huyu kibu denis ni zaidi ya bumunda, limejaa lakini ndani upepo. Aina yake ya mpira ni sawa na safari za chizi kwenda umbali mrefu kisha kurudi na makopo.
Ila ukiuliza pale umbumbumbuni kwa nini wanaliongezea mkataba hilo chakubanga, utasikia jamaa anajituma sanaa!!, hivi ni nani aliwaroga hawa kolozidad? Wapi katika hii dunia kuna tuzo ya mchezaji anejituma, yaan mtu anacheza nafasi ya ushambuliaji, ila mechi 18 mfululizo hana assist wala goli la kusingiziwa anawaendesha kiasi hicho? Vipi mngekuwa na mtu kama pacome au maxi au aziz ki, si mngekuwa mnatembea mnajamba jamba hovyo kwa shibe ya furaha.. Hovyo kabisa
Eti Beckham hakua na nini? acha mzahaUmeandika kwa akili ndogo mno. Ukiacha takwimu za uwanjani kumbuka kuna biashara kwenye mpira. Pamoja na takwimu za uwanjani inategemea mchezaji na yeye kajiweka vipi kibiashara. George Mpole alikuwa na takwimu nzuri uwanjani ila kibiashara hakuwa na mvuto mkubwa. Hata Ulaya, David Beckham hakuwa mchezaji mkubwa sana kuzidi wengi ila alikuwa mchezaji ghali mno. Na hadi leo ni miongoni mwa wanamichezo matajiri. Kwa hiyo ndugu Kibu na management yake wako sahihi kabisa kuliendea hili suala kibiashara
Jamaa kaandika kama mlevi wa matapu tapuEti Beckham hakua na nini? acha mzaha
Punguza chuki mkuu, maisha hayaendi hivyoNilicheka sana, Baada ya taarifa za kibu Denis kuwagomea makolo kusaini mkataba mpya kisha baadae wakala wake akaingiza siasa za kwamba tapeli hilo la söka linatakiwa na mabingwa wa nchi, Yanga sc!
kibu Denis hana thamani ya milioni 300 wala mshahara wa laki 9 kwa mwezi achilia mbali mil 15 anayotaka, huyu ni mchezaji wa kawaida sana tena zaidi ya sana, ebu fikiria huyu ni mchezaji anayecheza nafasi ya ushambuliaji ila cha ajabu msimu mzima 2023/2024 amecheza mechi 20 za ligi na kufunga goli moja na assist mbili. unasumbuliwaje kichwa na mchezaji wa namna hii?. Huyu kibu denis ni zaidi ya bumunda, limejaa lakini ndani upepo. Aina yake ya mpira ni sawa na safari za chizi kwenda umbali mrefu kisha kurudi na makopo.
Ila ukiuliza pale umbumbumbuni kwa nini wanaliongezea mkataba hilo chakubanga, utasikia jamaa anajituma sanaa!!, hivi ni nani aliwaroga hawa kolozidad? Wapi katika hii dunia kuna tuzo ya mchezaji anejituma, yaan mtu anacheza nafasi ya ushambuliaji, ila mechi 18 mfululizo hana assist wala goli la kusingiziwa anawaendesha kiasi hicho? Vipi mngekuwa na mtu kama pacome au maxi au aziz ki, si mngekuwa mnatembea mnajamba jamba hovyo kwa shibe ya furaha.. Hovyo kabisa
Karibu sana unataka wine gani mdogo wangu...nikupe unywe ufurahi...Dada weekend hii tupate hata wine dada yangu kipenzi
Sasa mwehu ukitushauri si tutawehuka wote?? Hahahhahhhamtaki tuwashauri?
Achana na roho ya kwanini apate yeye wewe unyimweHii ni football mzee, takwimu ndio kila kitu, hakuna huruma
Chuki za namna hii huwa hazitoki mbali, Ukiwa huko makazini na kwenye biashara utapata huu uzoefu.Punguza chuki mkuu, maisha hayaendi hivyo
Nilicheka sana, Baada ya taarifa za kibu Denis kuwagomea makolo kusaini mkataba mpya kisha baadae wakala wake akaingiza siasa za kwamba tapeli hilo la söka linatakiwa na mabingwa wa nchi, Yanga sc!
kibu Denis hana thamani ya milioni 300 wala mshahara wa laki 9 kwa mwezi achilia mbali mil 15 anayotaka, huyu ni mchezaji wa kawaida sana tena zaidi ya sana, ebu fikiria huyu ni mchezaji anayecheza nafasi ya ushambuliaji ila cha ajabu msimu mzima 2023/2024 amecheza mechi 20 za ligi na kufunga goli moja na assist mbili. unasumbuliwaje kichwa na mchezaji wa namna hii?. Huyu kibu denis ni zaidi ya bumunda, limejaa lakini ndani upepo. Aina yake ya mpira ni sawa na safari za chizi kwenda umbali mrefu kisha kurudi na makopo.
Ila ukiuliza pale umbumbumbuni kwa nini wanaliongezea mkataba hilo chakubanga, utasikia jamaa anajituma sanaa!!, hivi ni nani aliwaroga hawa kolozidad? Wapi katika hii dunia kuna tuzo ya mchezaji anejituma, yaan mtu anacheza nafasi ya ushambuliaji, ila mechi 18 mfululizo hana assist wala goli la kusingiziwa anawaendesha kiasi hicho? Vipi mngekuwa na mtu kama pacome au maxi au aziz ki, si mngekuwa mnatembea mnajamba jamba hovyo kwa shibe ya furaha.. Hovyo kabisa
Hizi ni chuki binafsi tu,utopolo wengi wanatamani Kibu asiendele Simba,akienda leo Yanga anaingia moja kwa moja anapata nambaKibu Denis anamvuto gani wa kibiashara? Au unamaanisha anawauzia kina Mangungu dawa za mvuto toka congo? Mtu hana hata ubalozi wa chupi za karatasi, ebu toa pumba zako hapa..mbuzi mmoja wewe
FUTA hata mavi uliyoyaandika hapa hivi unamjua Beckham vizuri we boyaUmeandika kwa akili ndogo mno. Ukiacha takwimu za uwanjani kumbuka kuna biashara kwenye mpira. Pamoja na takwimu za uwanjani inategemea mchezaji na yeye kajiweka vipi kibiashara. George Mpole alikuwa na takwimu nzuri uwanjani ila kibiashara hakuwa na mvuto mkubwa. Hata Ulaya, David Beckham hakuwa mchezaji mkubwa sana kuzidi wengi ila alikuwa mchezaji ghali mno. Na hadi leo ni miongoni mwa wanamichezo matajiri. Kwa hiyo ndugu Kibu na management yake wako sahihi kabisa kuliendea hili suala kibiashara
Acha uongo mjomba kibu anamuweka nani benchi yanga pale hata benchi AkaiHizi ni chuki binafsi tu,utopolo wengi wanatamani Kibu asiendele Simba,akienda leo Yanga anaingia moja kwa moja anapata namba