7ve
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 1,567
- 4,431
Hahahaha kazi yote hiyo ya nini mzee baba.Ile pressure mkuu, ukitaka kumuweza nenda kapunguze pressure kwenye koki ya mita, halafu tafuta fundi welding akutengenezee kile kibox cha chuma, funika mita weka kufuli, funguo tembea nayo.

