Kiboko cha EU lazima kituchape kuhusu Ngorongoro

Kiboko cha EU lazima kituchape kuhusu Ngorongoro

Chakaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
40,949
Reaction score
74,431
Hii habari ya wabunge wa Bunge la Ulaya (EU) kuzuiwa kuingia Ngorongoro saa 24 kabla ya ziara yao ya kukagua Haki za kibinadamu za jamii ya Wamaasai hakika haitatuacha salama.

Sijui akili za viongozi wa nchi hii zinamilikiwa na nani, kila leo misaada tunakimbilia huko lakini wakitaka kujua tunajiendeshaje katika haki za binadamu tunaficha.

Bomu la Ngorongoro litalipuka soon na kila kitu hadharani.

 
Maisha ya Mwafrica yanasikitisha sana, sitetei ujinga wa Viongozi wetu lakini pia sikubaliana na upumbavu wa Taifa kuingiliwa na kuamuliwa mambo yake na watu wengine.

Tujifunze kujitegemea na hata haki zetu tuzidai wenyewe na sio kuingiliwa na wengine
 
Hii habari ya wabunge wa Bunge la Ulaya (EU) kuzuiwa kuingia Ngorongoro saa 24 kabla ya ziara yao ya kukagua Haki za kibinadamu za jamii ya Wamaasai hakika haitatuacha salama.

Sijui akili za viongozi wa nchi hii zinamilikiwa na nani, kila leo misaada tunakimbilia huko lakini wakitaka kujua tunajiendeshaje katika haki za binadamu tunaficha.

Bomu la Ngorongoro litalipuka soon na kila kitu hadharani.

 
Hii habari ya wabunge wa Bunge la Ulaya (EU) kuzuiwa kuingia Ngorongoro saa 24 kabla ya ziara yao ya kukagua Haki za kibinadamu za jamii ya Wamaasai hakika haitatuacha salama.

Sijui akili za viongozi wa nchi hii zinamilikiwa na nani, kila leo misaada tunakimbilia huko lakini wakitaka kujua tunajiendeshaje katika haki za binadamu tunaficha.

Bomu la Ngorongoro litalipuka soon na kila kitu hadharani.

Sijui akili za viongozi wa nchi hii zinamilikiwa na nani, kila leo misaada tunakimbilia huko lakini wakitaka kujua tunajiendeshaje katika haki za binadamu tunaficha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania ina wapenda sana wamasai na inataka waache kuishi na wanyama kwa usalama wao na wanyama pia maana majangili hujifichia humo humo, serekali inawapeleka msowera na kuwapa maeneo makubwa kabisa na nyumba bora kabisa.
NATAMBUA CHADEMA & CO, HUFURAHI KWELI NCHI INAPOPATWA NA MADHILA.
 
Serikali ya kijinga inayoendelea kufanya ujinga kila siku, na bado inaonekana kuna maujinga mengine mengi tu yatafuata.

Huyu Samia ni kioja kabisa kuwahi kuingia ikulu, anaonekana kabisa hakuwahi kuwa na hilo wazo, yote yaliyotokea kwake ni kama ajali tu, hata miaka zaidi ya miwili baada ya kuapishwa bado yupo kama anaishi kijijini tu.
 
Hii habari ya wabunge wa Bunge la Ulaya (EU) kuzuiwa kuingia Ngorongoro saa 24 kabla ya ziara yao ya kukagua Haki za kibinadamu za jamii ya Wamaasai hakika haitatuacha salama.

Sijui akili za viongozi wa nchi hii zinamilikiwa na nani, kila leo misaada tunakimbilia huko lakini wakitaka kujua tunajiendeshaje katika haki za binadamu tunaficha.

Bomu la Ngorongoro litalipuka soon na kila kitu hadharani.

Kwan hao EU wanahusika na nin huko ngorongoro
 
Hii habari ya wabunge wa Bunge la Ulaya (EU) kuzuiwa kuingia Ngorongoro saa 24 kabla ya ziara yao ya kukagua Haki za kibinadamu za jamii ya Wamaasai hakika haitatuacha salama.

Sijui akili za viongozi wa nchi hii zinamilikiwa na nani, kila leo misaada tunakimbilia huko lakini wakitaka kujua tunajiendeshaje katika haki za binadamu tunaficha.

Bomu la Ngorongoro litalipuka soon na kila kitu hadharani.


Hakika Mtanzania bado una akili za kijinga sana, ujinga ni sifa yako. Leo moiaka 62 baada ya uhuru bado unafikiria kusaidiwa na wazungu?

Tazama Afrika Magharibi huku, Ibrahim Traore kasema hatutaki kabisa misaada yenu. Nyinyi mnatuhitaji kuliko tunavyowahitaji.

Hao wazungu siyo wa kuwasujudia kama ulivyoaminishwa. Wao wanatuhitaji sisi kuliko sisi tunavyowahitaji. Usiwe mjinga.

Saa 24 za ushuzi?
 
Hii habari ya wabunge wa Bunge la Ulaya (EU) kuzuiwa kuingia Ngorongoro saa 24 kabla ya ziara yao ya kukagua Haki za kibinadamu za jamii ya Wamaasai hakika haitatuacha salama.

Sijui akili za viongozi wa nchi hii zinamilikiwa na nani, kila leo misaada tunakimbilia huko lakini wakitaka kujua tunajiendeshaje katika haki za binadamu tunaficha.

Bomu la Ngorongoro litalipuka soon na kila kitu hadharani.

Wapuuzi hao
 
Back
Top Bottom