Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,611
- 21,135
Hata ya kwako pia. Maoni ya mtu mmoja sio lazima yafanane na ya mtu mwingineMaoni yako hayaeleweki.
Hata ya kwako pia. Maoni ya mtu mmoja sio lazima yafanane na ya mtu mwingineMaoni yako hayaeleweki.
itakuwa kichekesho kwasababu wengi kwenye ballot paper zao wataandika SIZONJEKura ya siri ya kutaja majanguli katika siku maalun ikiendana na sala itasaidia
hapo kama una hela na akili unatajirika faster matajiri wengi wametoka hivi kwa kutumia fursa kama hiz. Mfano was Marekani fest and sekend weld war. Walionunua nyumba na estates wakati wa global economic crisis huko Spain na Greece sasa hivi wanafurahi matundaBest time to buy is when there is blood in the street.
Wewe mbona baba yako hakununua kibanda huko kwenu wakati wa Vita ya Kagera!?hapo kama una hela na akili unatajirika faster matajiri wengi wametoka hivi kwa kutumia fursa kama hiz. Mfano was Marekani fest and sekend weld war. Walionunua nyumba na estates wakati wa global economic crisis huko Spain na Greece sasa hivi wanafurahi matunda
Nilifika Utete...chemichemi ya maji moto, pazuri asikwambie mtu...ukaone menyewe...Nimefika na Nyaminywili....unapishana na mamba kwenye mto ukiwa na mtumbwi wa gogo...wachaa!Back in days nilisoma upili ya juu KIBITI miaka imepita ni sehemu iliokua nzuri nashangaa Sana Kama kwasasa limegeuka pango la hooligans.
Nilifika Utete...chemichemi ya maji moto, pazuri asikwambie mtu...ukaone menyewe...Nimefika na Nyaminywili....unapishana na mamba kwenye mto ukiwa na mtumbwi wa gogo...wachaa!
hapo kama una hela na akili unatajirika faster matajiri wengi wametoka hivi kwa kutumia fursa kama hiz. Mfano was Marekani fest and sekend weld war. Walionunua nyumba na estates wakati wa global economic crisis huko Spain na Greece sasa hivi wanafurahi matunda
Asituambie mtu? Wakati wewe tayari umeshatuambiaSasa viwanja vimeshuka bei ya kutupwa yaani ukiwa na laki tano tu unapata bonge la kiwanja na tena unaweza kujipimia mwenyewe uanzie wapi mpaka wapi kwa laki tano.
Maji yanapatikana vizuri tu yaani 24/7, vile vile kuna mashule ya kufa mtu yaan mengi sanaa ni wewe na ada za wanao tu.
Umeme haukatiki sanaa, na ikifika usiku watu wametulia ndani freshi kabisaa yaani unaanika nguo vizuri af kesho yake unazikuta tu zimelala nje safi.
Asikwambie mtu kitu kibiti raha sanaa waungwana.
Umejuaje kwamba hatuna bifu nao na kipi kinachokupelekea usizanie kuwa hao wafanyayo yanayofanyika sio wao?Yeah, true mkuu, haya ya kibiti yanadhalilisha jeshi letu na kuonesha ni jinsi gani lina uwezo mdogo sana ktk masuala ya intelijensia, sasa unaweza kuona tu kibiti iko karibu sanaa na makao makuu ya majeshi karibu yote, ila intelijensia gani sasa imetumika? jiulize tungekua na bifu na Al Shaabab je?
Atumwe Willy Gamba yule mpelelezi wa KIKOSI CHA KISASIJapo si vyema kubeza hasa katika kipindi hiki kigumu, ila kuna ka udhaifu flani ndani ya Jeshi letu tukufu la police.
Kwa ulayman wangu wa mambo ya kiintelijensia, nafikiria mbinu ambazo zinaweza kutumika. Haya maharamia hayaishi porini. Yapo mulemule yamejimix na watu. Fanya ambush. Funga barabara za kuingia na kutoka kwa masaa kadhaa. Anza msako wa nyumba kwa nyumba. Rusha aircraft juu iangaze kiurahisi. Tanguliza mashushushu wafanye some kind of ground work. Etc. Etc.
Haya mengine sijui ya kutaka kumtuma CDF akaongee na wazee ni mbwembwe tu na kutafuta huruma kwa wasiohusika.
Ndio imani za Watanzania zilivyo na akili za kushikiliwa mkuu sasa kama wameshindwa kushughulikia wahalifu kule kibiti si bora tumlete mpelelezi wa kwenye vitabuhahahahaah yule wa mastori ya kusadikika huko magazetini?
