thA bubs
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 272
- 204
Umeongea ukanisisimua mkuuJapo si vyema kubeza hasa katika kipindi hiki kigumu, ila kuna ka udhaifu flani ndani ya Jeshi letu tukufu la police.
Kwa ulayman wangu wa mambo ya kiintelijensia, nafikiria mbinu ambazo zinaweza kutumika. Haya maharamia hayaishi porini. Yapo mulemule yamejimix na watu. Fanya ambush. Funga barabara za kuingia na kutoka kwa masaa kadhaa. Anza msako wa nyumba kwa nyumba. Rusha aircraft juu iangaze kiurahisi. Tanguliza mashushushu wafanye some kind of ground work. Etc. Etc.
Haya mengine sijui ya kutaka kumtuma CDF akaongee na wazee ni mbwembwe tu na kutafuta huruma kwa wasiohusika.
Its dope!