carcinoma
JF-Expert Member
- Mar 5, 2017
- 5,059
- 13,721
Dude likiamshwa na afe ndugu yako wa karibu ..amenNgoja tusubiri kama watajibu mapigo.. counter attack iwe 1-1... maana dude limeamshwa hilo
Dude likiamshwa na afe ndugu yako wa karibu ..amenNgoja tusubiri kama watajibu mapigo.. counter attack iwe 1-1... maana dude limeamshwa hilo
Mkuu kuna kauli pale nadhani wengi hawaizingatia. Kasema ".. tunaendelea vizuri na oparesheni yetu ambayoinashirikisha vyombovingine vya ulinzi na Usalama.." hivyo usishangae walikuwepo special unit au hadi makomando wa JWTZ ambao wana weledi/ueledi mkubwa wa kupigana porini na gizani. Ukiona askari hawaja jeruhiwa inabidi uwapongeze askari na sio kuanza kutuhumu mambo negative, unawakatisha tamaa wanaojitoa roho zao kutulinda raia na kuilinda nchi yetu.iweje polisi wasijeruhiwe? hapo hakukuwa na mapambano bali waliwakamata wakawapeleka porini na kuwaua kisha wakazuga kuwa yalikuwa mapambano ya Nusu saa tu tena gizani? Wametengeneza sinema pasipo kutafakari kuwa watanzania wameamka uwezo kutambua mbinu zao,
Kuna sinema hapoIsiwe SMG ni za polisi, kwa nini wasimwache hai japo mmoja? na walikuwa sita wawili wako wapi? Najaribu kuwaza kwa sauti tu.
Suala linaanza kwenye kuiamini taarifa ya polisi,je ni kweli?Inawezekana vp watu wanne wajeruhiwe halafu wote wafe wakiwa njiani kupelekwa hospitali???Wote wanne hakuna hata mmoja aliyefika hospitali anapumua!!!!!Ukianza kuwarushia risasi polisi wewe utakua ni mtu wa amani kweli na hali kama ya kibiti. Hata kama tunawachukia mapolisi lakini tujaribu pia kuwa wakweli.
Umewaza ninachokiwaza hata police waliopo huko cio lelemama ni wenye ueledi wa hali ya juu na hili suala linatishia usalama wa nchi cio police tu kunavyombo vingine vakiusalama vinahusika piaMkuu kuna kauli pale nadhani wengi hawaizingatia. Kasema ".. tunaendelea vizuri na oparesheni yetu ambayoinashirikisha vyombovingine vya ulinzi na Usalama.." hivyo usishangae walikuwepo special unit au hadi makomando wa JWTZ ambao wana weledi/ueledi mkubwa wa kupigana porini na gizani. Ukiona askari hawaja jeruhiwa inabidi uwapongeze askari na sio kuanza kutuhumu mambo negative, unawakatisha tamaa wanaojitoa roho zao kutulinda raia na kuilinda nchi yetu.
Wana uhakika? Isije ikiwa ni raia wema. Vinginevyo Good work
UPUMBAVU MWINGINE MUWE MNAUACHA WEWE UNAONA POLISI UNAKIMBIZWA KWA LIP? WAKATI UKO ENEO LA UHALIFU WA 99%? WAMEKUTWA NA NINI JIBU BUNDUK 2 SMG NA RISAS 17 HAYA SEMA TENA BADO HAO NI RAIA WEMA BUNDUKI ZA KIVITA ZINAMILIKWA NA RAIA?Wanaodhaniwa!!!!!!kuna shaka hapa! Walikuwa wapi, wanafanyaje, wamekutwa Na nini !!!
Wailete hapa JF?Watuoneshe Miili ya waliokufa
jwtz komandoo wasingewaua wangewateka kininja live na kuwanyang'anya silaha kisha wahojiwe vizuri Ukweli ujulikane, nina imani hapo walienda Asikari waoga na watakuwa waliwakata hai wakaamua kuwaua wenyewe kisha wamezuga kuwa ni mapambano ya nusu saa bila kuongezeka dk kwa kweli kuna Sinema hapo hilo tukio ni la kutengeneza yapaswa lichunguzwe kwa undani zaidi.Mkuu kuna kauli pale nadhani wengi hawaizingatia. Kasema ".. tunaendelea vizuri na oparesheni yetu ambayoinashirikisha vyombovingine vya ulinzi na Usalama.." hivyo usishangae walikuwepo special unit au hadi makomando wa JWTZ ambao wana weledi/ueledi mkubwa wa kupigana porini na gizani. Ukiona askari hawaja jeruhiwa inabidi uwapongeze askari na sio kuanza kutuhumu mambo negative, unawakatisha tamaa wanaojitoa roho zao kutulinda raia na kuilinda nchi yetu.
Watanzania muda mwigine tutumie akili kidogo..
Taarifa imeandikwa 'watu wanaodhaniwa' kwa sababu hawajafikishwa mahakamani
Lakini kitendo cha wao kurushiana risasi na polisi basi ni haki yao kufa.
Na mpaka hapo polisi hawana kosa lolote maana ni selfdefence .
Mbona magaidi yakiuawa povu linakuwa kubwa? Polisi wakiuawa wengi wanaishia kukebehi, si vizuri!Aliyeshuhudia hayo majibizano ajitokeze hapa! Kama nikweli
binduki ni zao polisi wamewabambikia tu hilo tukio lemejaa sitofahamu yafaa lichunguzwe kwa undani zaidiUPUMBAVU MWINGINE MUWE MNAUACHA WEWE UNAONA POLISI UNAKIMBIZWA KWA LIP? WAKATI UKO ENEO LA UHALIFU WA 99%? WAMEKUTWA NA NINI JIBU BUNDUK 2 SMG NA RISAS 17 HAYA SEMA TENA BADO HAO NI RAIA WEMA BUNDUKI ZA KIVITA ZINAMILIKWA NA RAIA?
Ha ha haaaaaaa... Tunduma to Zambia au Tunduma to Sumbawanga..Hahaha mkuu Tunduma moja
Ng'ombe wew jua kuwa kuna wengine Polisi ni watoto wetu.Wailete hapa JF?
ANGALAU UNGEKUWA UNA ELMU HATA YA MGAMBO USINGEANDIKA UPUUZ HUU, MTU HATEKWI KWENYE AMBUSH ACHA UJINGA WEWE, AMBUSH NI AMA ZAKO AMA ZANGU HAKUNA HAKI WALA SHERIA HAPO.jwtz komandoo wasingewaua wangewateka kininja live na kuwanyang'anya silaha kisha wahojiwe vizuri Ukweli ujulikane, nina imani hapo walienda Asikari waoga na watakuwa waliwakata hai wakaamua kuwaua wenyewe kisha wamezuga kuwa ni mapambano ya nusu saa bila kuongezeka dk kwa kweli kuna Sinema hapo hilo tukio ni la kutengeneza yapaswa lichunguzwe kwa undani zaidi.
Hahaha Tunduma to Zambia mkuuHa ha haaaaaaa... Tunduma to Zambia au Tunduma to Sumbawanga..