namfua masakia
Senior Member
- Sep 27, 2015
- 178
- 150
Habari ya kutunga hiyoNadhani watu huwa hawasomi habari kamili,Mtu karushiana risasi na polisi,anakimbilia vichakani huku akituma mashambulizi,Huyu kasha prove kuwa sio Raia Mwema,ni Mhalifu.
Habari ya kutunga hiyoNadhani watu huwa hawasomi habari kamili,Mtu karushiana risasi na polisi,anakimbilia vichakani huku akituma mashambulizi,Huyu kasha prove kuwa sio Raia Mwema,ni Mhalifu.
Kama walikua RAIA wema unafikili ni kwanini walianza wao kuwalushia askali risasi?Kama habari hii ni kweli lipo tatizo
Kudhania tu hakumfanyi mtu kuwa na hatia na adhabu!
yani hapa hata Mimi najiuliza!!!kweli hapa wanatupiga usaniiMtu akimbilie kichakani alafu wewe umfuate kichakani/ubaki barabarani alafu wewe ndio umue kwa risasi mtu aliejificha kichakani tena bila wewe kudhurika huku ikiwa ni mida usiku!!!!
Au waliwau wakati wanakimbilia kichakani?Inawezekana kweli katika mazingira ya giza?!
kama waliwau wakati wanakimbilia kichakani,ndio kuwe na mapambano ya muda wa zaidi ya nusa saa?
Kama ni kweli, basi hao labda ni vibaka lakini sio hawa jamaa wanaouwaa kwa style hii tunayoisikia.
Huu ni utawala mwingine mkuu wee kuwa na aman..
Kwa askari aliye uwanja wa mapambano lazima ajihami. Tuachane na watu wenye fikra mgando wanao furahia mauaji ya watu wasio na hatia bila sababu ya msingi. Nafikiri Jeshi la polisi lipongezwe kwa kazi nzuri badala ya kubezwaKama walikua RAIA wema unafikili ni kwanini walianza wao kuwalushia askali risasi?
Jesus???!! Kwahiyo ulikuwa unataka wajiselfie kama bongo movie wakati wanarushiana risasi???? Did u seriously wanted to post this au imejipost kwa bahati mbaya mkuu??? ...
Kwa hiyo Habari mbaya ndio sio ya kutungaHabari ya kutunga hiyo
Siku zote Usiiamini Taarifa inayotoka Jeshi LA policeushahidi gani? una uhakika upi? Ni mapambano gani yanaweza kufanyika pasipo upande wa pili kujeruhiwa? Acheni sinema za kuwahadaa watu nendeni mkawatafute majambazi olijino hizo sinema zinawatia Aibu
Wewe Mbweha Kwan wale Ndugu zetu Polisi waliokuwa wanauawa wale Wauaji walituita kutuonesha miili ya Wapendwa wetu ?Sasa wewe nyumbu unataka polisi wakuite wapi ili wakuonyeshe hiyo miili?
Mahakama ndio inaweza kuthibitishaAiseee kumbe hawana evidence kamili bdo wanahisi tu,,,,
Aseeee ngoja wao zamu yao leo sasa
Subiri Mbowe na Lisu waseme.. Maana Mange kachemkaHata hivyo, hii habari hainishawishi maana ni kama movie fulani hivi!
mbona mwandishi anasema kundi la watu hawa walipowaona polisi walikimbilia vichakani na kuanza kurusha risasi, tena amemnukuu kamanda wa polisi kwamba katika tukio hilo wamekamata SMG na magazine na risasi kumi na saba!! Je, hawa watu kweli wanadhaniwa?!!, au mwandishi kakosea heading..Wanaodhaniwa!!!!!!kuna shaka hapa! Walikuwa wapi, wanafanyaje, wamekutwa Na nini !!!
Sasa mkuu unadhani watu kama hao wanakubali kukamatwa wakiwa hai? Na umesikia jamaa walianza kurusha risasi. Hata S.W.A.T na FBI huwa wanawauwa watuhumiwa hasa kama ni cop killers.