Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,462
- 21,334
Kwa walioangalia tbc tunaamini kweli haya mambo hatari
kibibi kizee mmoja akadiriae na miaka 60-65 amekutwa kwenye nyumba ya bwana mmoja aitwae salum pale dodoma -airport,wakimwonyesha bibi yule huku akihojiwa kwa kigogo bibi alisema wao wamekuwa wakizunguka na kuingia kwenye nyumba nyingi hapo airport lakini walipokuja kwenye hii mwenzake aliona moto mapema mi nkachelewa,wakamuuliza ulionaje aksema humu ndani kuna nguvu za ajabu zilizonishinda nikabakia sebuleni;
wakiongea na mwenye nyumba alisema yeye hana kitu cha uchawi labda muwaulize wapangaji wangu;mi mwenyewe sijui kilichotokea;
baadae bibi yule walimpeleka polisi kwa maelezo zaidi;
swali langu mtu kama huyu mahakamani awaamini uchawi anapelekwa kwa kosa gani jamani??
kibibi kizee mmoja akadiriae na miaka 60-65 amekutwa kwenye nyumba ya bwana mmoja aitwae salum pale dodoma -airport,wakimwonyesha bibi yule huku akihojiwa kwa kigogo bibi alisema wao wamekuwa wakizunguka na kuingia kwenye nyumba nyingi hapo airport lakini walipokuja kwenye hii mwenzake aliona moto mapema mi nkachelewa,wakamuuliza ulionaje aksema humu ndani kuna nguvu za ajabu zilizonishinda nikabakia sebuleni;
wakiongea na mwenye nyumba alisema yeye hana kitu cha uchawi labda muwaulize wapangaji wangu;mi mwenyewe sijui kilichotokea;
baadae bibi yule walimpeleka polisi kwa maelezo zaidi;
swali langu mtu kama huyu mahakamani awaamini uchawi anapelekwa kwa kosa gani jamani??