Nyafwili
JF-Expert Member
- Nov 27, 2023
- 5,959
- 15,177
🤣🤣🤣🤣🤣.... DahHAKIMU: Upande wa Jamhuri mmebakiza mashahidi wangapi?
JAMHURI: Mashahidi 10 Mheshimiwa.
HAKIMU: Kama mashahidi wenyewe ni kama huyu, nashauri mulete watatu watatu.
MAHAKAMA: (Kicheko).
HAKIMU: Namaanisha kama watatoa ushahidi mfupi kama huyu basi waje watatu watatu ili tumalize haraka.
JAMHURI: Sawa Mheshimiwa.
HAKIMU: Kesi imeahirishwa