KWEZISHO
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,519
- 6,524
Kumbe kuna watu wana...View attachment 1194520
Huyu kada wa ccm aliyeikana picha hii ndio wa kumtisha kibatala ?
Kumbe kuna watu wana...View attachment 1194520
Huyu kada wa ccm aliyeikana picha hii ndio wa kumtisha kibatala ?
Umeanza lini tabia ya kusubiri kumwaga "madini" mpaka mtu ajipendekeze?Nasubiri mleta uzi ajipendekeze ili nimwage kila kitu
Wanakaponza katoto ka watu kaje kabanwe kajikojolee bure siku kakija.Yaani apambane na mawakili kumi na tano alaf akiogope kiburudisho cha Lumumba ambacho hakijafaulu mitihan ya law school?What a foolish fool
Siyo vizuri kudhalilisha wanawake/ watoto wakike kwa kuamini kuwa hawawezi kupata mafanikio kitaaluma bila kutoa rushwa ya ngono. Let's give these women respect they deserve regardless of our political affiliation. Halima Mdee ni Mwanasheria, unadhani degree yake aliipata kwa mtindo huo unaouwazia?Ndivyo ulivyotumwa na Polepole kuandika hizi kamasi? Kibatala anayemjambisha mwanasheria mkuu wa serikali aje akaogope hako katoto kalichopata degree kwa kutoa ch***?
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jana ilishindwa kuendelea na ushahidi katika kesi ya uchochezi inayowakabili viongozi tisa wa Chadema, akiwemo mwenyekiti wake, Freeman Mbowe, kutokana na wakili wa washtakiwa hao, Peter Kibatala kutokuwepo mahakamani.
Kibatala alitakiwa jana Ijumaa Agosti 30,2019 kumhoji shahidi wa saba katika kesi hiyo, Victoria Wihenge ambaye ni Ofisa Uchaguzi kutoka Manispaa ya Kinondoni pia ni mwanasheria kitaaluma, lakini hadi kesi hiyo inaahirishwa alikuwa hajatokea Mahakamani.
Uamuzi wa kuahirisha kesi hiyo ulitolewa na Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama hiyo, Thomas Simba ambapo aliahirisha kesi hiyo hadi Oktoba 10, 11 na 12, 2019 itakapoendelea.
sawa mama. kama ni mwanasheria mzuri kupambana na Kibatala mpelekeni SOUTH akomboe ndege yetu
Siyo vizuri kudhalilisha wanawake/ watoto wakike kwa kuamini kuwa hawawezi kupata mafanikio kitaaluma bila kutoa rushwa ya ngono. Let's give these women respect they deserve regardless of our political affiliation. Halima Mdee ni Mwanasheria, unadhani degree yake aliipata kwa mtindo huo unaouwazia?
inahusiana na namna alivyopata hicho cheo , kwa vile ni mambo ya aibu sana nimeona nimsitiri kwanza kwa heshima ya jfUmeanza lini tabia ya kusubiri kumwaga "madini" mpaka mtu ajipendekeze?
Mkuu Erythrocyte ingekuwa mpirani hapa ningekuchapa kadi ya njano onyo kwa kuwabembeleza wabwiga!
Mwaga nondo tu,wakikupiga ban potelea mbali ili mradi ukweli ujulikane tumechoka na hawa mbweha wa kijaniinahusiana na namna alivyopata hicho cheo , kwa vile ni mambo ya aibu sana nimeona nimsitiri kwanza kwa heshima ya jf
🤣🤣🤣🤣 Harudi tena huyo.Nasubiri mleta uzi ajipendekeze ili nimwage kila kitu
Duuuu!!ukitaka ujijue vizuri kushinda unavyojijua jadiliwa Jf.Watu wana ma file balaaainahusiana na namna alivyopata hicho cheo , kwa vile ni mambo ya aibu sana nimeona nimsitiri kwanza kwa heshima ya jf
Wala siyo hekima kushambulia personality yake kwa vitu ambavyo huwezi kuvithibitisha. Any character assassination to one woman, is an attempt to an entire gender ambapo hata mama yako anakuwa ni victim wa character assassination.siyo wote. hapa tunamzungumzia huyu aliyeko kwenye mada. na mafaili yake tunayo. tunasubiri mtoa mada asee SUU.
Acha kumfananisha mama wa watu na vitu vya ajabu!Wala siyo hekima kushambulia personality yake kwa vitu ambavyo huwezi kuvithibitisha. Any character assassination to one woman, is an attempt to an entire gender ambapo hata mama yako anakuwa ni victim wa character assassination.
This is what it deserved to ask!. You have done what ought to be done [emoji818][emoji123][emoji123]Kwa hiyo;
1. Wakili Peter Kibatala hakuwepo tu mahakamani
AU
2. Alikuja mahakamani na kisha kumkimbia shahidi kwa sababu tu huyo shahidi ni mwanasheria??
Hujaeleweka kwa kiwango kikubwa...!!
I see!Acha kumfananisha mama wa watu na vitu vya ajabu!
Eti wakili haugui. hana kesi nyingine kwenye mahakama tofauti,hana dharula n.kKwa hiyo;
1. Wakili Peter Kibatala hakuwepo tu mahakamani
AU
2. Alikuja mahakamani na kisha kumkimbia shahidi kwa sababu tu huyo shahidi ni mwanasheria??
Hujaeleweka kwa kiwango kikubwa...!!