Manyerere Jackton
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 2,436
- 4,429
Mhariri Mtendaji wa Habari Corporation, Absalom Kibanda, kwa sasa yuko Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, akipelekwa Afrika Kusini kwa matibabu.
Ndege imekodiwa na mwajiri wake. Hali yake si nzuri.
Tuungane kumwomba Mungu amjalie apone-arejee salama.
Ndege imekodiwa na mwajiri wake. Hali yake si nzuri.
Tuungane kumwomba Mungu amjalie apone-arejee salama.