Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,144
- 26,651
Kibaya zaidi wametumia strategy zilezile zilizotumika kwa Ulimboka wamejua wakitumia hizo hawatafikiriwa wao watafikiriwa walewale waliofanya kwa Ulimboka. Poor Him. get well soon. Ila mimi nafikiri Huyo mwandishi anajua zaidi na ndiye wa kusema ukweli.
Kitu kingine kinachonipa maswali. baada ya kusikia taarifa ya habari kuwa Mlinzi alipoona amevamiwa akaanza kuhangaika kuwaita majirani tema baada ya wavamizi kuondoka. Kwa nini alisubiri wavamizi waondoke ndio awaite majirani?
- Pia hiyo nyumba yake iko peke yake haijapakana na nyumba nyingine ambazo zina walinzi ambao wangeweza kuto msaada?
- Hivi alikuwa anaishi peke yake yeye na mlinzi tu? hakuna watu wengine kwenye nyumba alilokuwa anaishi?
nimejiuliza maswali hayo nimekosa majibu na pia nikahisi huenda pia Mlinzi alikuwa anajua au pia alikula njama na wavamizi. maana pia inaonekana alichelewa kufungua mlango makusudi ili tendo lifanyike. ni mawazo yangu tu. Unajua hali iliivyo sasa nchini kwenye inatufanya vichwa vyetu kila linapotoke tatizo na majibu yasipatikana tunakuwa tunawaza vibaya.
Mungu tusamehe waja wako.
Mkuu umejiuliza km mi.
Hivi anaishipeke yake?hana familia?