Kibanda amemuudhi nani?

Kibanda amemuudhi nani?

Wamiliki Tanzaniadaima wachunguzwe,kwa jambo gani?,unapopost jambo kwenye JF elewa kwamba watu makini wanatumia muda wao mwingi kupekua kurasa,sasa weka jambo linalonyooosha maelezo si brabra za kisiasa
 
Mi naangalia kwa upana sana, yeye anajua ni nani kamfanyia hivyo na ni kama mazingira matatu, je ni katika uandishi wake(siasa in particular)? je kachukua mke wa mtu? au je kamdhulumu nani pesa/mali?
Yeye anajua wabaya wake na hata kama hawajui basi anawahisi, get well soon.
 
Wamiliki Tanzaniadaima wachunguzwe,kwa jambo gani?,unapopost jambo kwenye JF elewa kwamba watu makini wanatumia muda wao mwingi kupekua kurasa,sasa weka jambo linalonyooosha maelezo si brabra za kisiasa

Watu makini ndio akina nani, wewe?
 
Mi naangalia kwa upana sana, yeye anajua ni nani kamfanyia hivyo na ni kama mazingira matatu, je ni katika uandishi wake(siasa in particular)? je kachukua mke wa mtu? au je kamdhulumu nani pesa/mali?
Yeye anajua wabaya wake na hata kama hawajui basi anawahisi, get well soon.

Ur right Son...
 
Sasa na wewe nia yako ni kuupaka matope utawala wa nanai?

Dah kweli watu wana mbinu chafu . Kibanda aliwasikia eti afande mpige risasi. Nia yao ni kuupaka matope utawala na jeshi la polisi. Sasa. Hata issue ya ulimboka nimebadilisha mawazo yangu.
 
Hata Yesu hakuwapenda mafarisayo, Watoza ushuru (TRA) askari (Hawajui walitendalo- mamburula) na WAANDISHI. Laana imempitia. ili andiko litimie. "Ole wenu mafarisayo na WAANDISHI"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom