Muda si rafiki kwao hawa CHADEMA...
Kama wana uhakika hawajamwidhinisha huyo mtu kwenda kufanya uhuni huo, wachukue hatua haraka za kisheria...
Na ni rahisi, waripoti polisi ama waende mahakamani na kula kiapo kuwa huyo aliyefanya hivyo ni mhalifu...
Kama atatafutwa na polisi na asipatikane kujibu kesi yake, basi kisheria CHADEMA watakuwa na haki ya kupewa fomu zingine kwa mtu halali...
All in all CCM ni wajinga na wahuni sana....
By all means, watamficha huyo mtu. Watamtafutia wadhamini. Na ataonekana kwenye ballot papers hata kama yeye personally hataonekana hadi siku ya kupiga kura....
Ni mchezo wa kijinga na kipuuzi sana...