kui
JF-Expert Member
- Mar 2, 2009
- 6,467
- 6,494
Jamani hii ni issue sensitive sana, wananchi wanajaribu effectiveness ya watendaji wetu kila sehemu, hakuna palipo na usalama. Hivi angekuwa amejifunga mabomu na mkuu wa kaya yupo ingekuwaje?
Hii inadhibitisha kwaninmi Mzee Kichaka alipokuja wakaweka ulinzi mpaka juu ya paa maana wanawajua walinzi wetu walivyo lazy kiasi kuwa Al-Kaeda wangeenda mpaka chumbani kwake.
lol!, lol! (alqaeda wangeenda mpaka chumbani kwake)
Very true though, no wonder Rais wa Marekani travels with his limo.
The whole ikulu security need to be changed for the safety of our Prez and his family. Unbelievable!