Leo sisalimii mtu, Feisal jana kajua kunilaza na maumivu ya moyo.
Well, kama title inavyojieleza, Nickson Kibabage kwanza kabisa, na hii ipo wazi, alikuja yanga kwa mkopo kwa kuomba yeye mwenyewe kupitia rafiki zake (kibwana, Mshery na Job). Engjneer hakuwa na mpango wa kumsajili, ila dogo mwenyewe aliomba aje kwa mkopo na kama akionyesha makali basi wampe mkataba wa kudumu kwa kumalizana na Singida.
Yes, Nafasi alipewa na Engineer, na wananchi tumejitahidi kweli kumvumilia na kumuonyesha support kubwa licha ya mpishano mkubwa wa kiwango baina yake na Lomalisa lakini leo sasa tunasema KIBABAGE SASA BASI INATOSHA, TUMECHOKA.
Hii ndo sababu ya wananchi kuchoka (Nawapa za ndaani kabisa), Well, Siku chache kabla ya mechi na Azam, Taarifa zilitoka mitandaoni na kuzagaa kwamba kunako mitaa ya msimbazi kwamba Wanamsimbazi wanamnunua Kibabage mwisho wa msimu ambaye anamaliza mkataba wake wa mkopo na Wananchi.
Licha ya Pande zote 2 za Singida na Mawakala wa mchezaji kugoma kuthibitisha taarifa hizi lakini siku chache badaye kwenye game ya derby, all of sudden, mchezaji anacheza chini ya kiwango kabisa na kupelekea tufungwe goal zote 2 kwa uzembe wake, hii kitu imetuumiza sana.
Transfer zipo na mikataba inaisha pia ila kama mtu anaona hawezi kuipambania team, ni afadhali atuache tu kuliko kutuweka fedhea.
Hii kwa kweli Inatosha na tumechoka.
Well, kama title inavyojieleza, Nickson Kibabage kwanza kabisa, na hii ipo wazi, alikuja yanga kwa mkopo kwa kuomba yeye mwenyewe kupitia rafiki zake (kibwana, Mshery na Job). Engjneer hakuwa na mpango wa kumsajili, ila dogo mwenyewe aliomba aje kwa mkopo na kama akionyesha makali basi wampe mkataba wa kudumu kwa kumalizana na Singida.
Yes, Nafasi alipewa na Engineer, na wananchi tumejitahidi kweli kumvumilia na kumuonyesha support kubwa licha ya mpishano mkubwa wa kiwango baina yake na Lomalisa lakini leo sasa tunasema KIBABAGE SASA BASI INATOSHA, TUMECHOKA.
Hii ndo sababu ya wananchi kuchoka (Nawapa za ndaani kabisa), Well, Siku chache kabla ya mechi na Azam, Taarifa zilitoka mitandaoni na kuzagaa kwamba kunako mitaa ya msimbazi kwamba Wanamsimbazi wanamnunua Kibabage mwisho wa msimu ambaye anamaliza mkataba wake wa mkopo na Wananchi.
Licha ya Pande zote 2 za Singida na Mawakala wa mchezaji kugoma kuthibitisha taarifa hizi lakini siku chache badaye kwenye game ya derby, all of sudden, mchezaji anacheza chini ya kiwango kabisa na kupelekea tufungwe goal zote 2 kwa uzembe wake, hii kitu imetuumiza sana.
Transfer zipo na mikataba inaisha pia ila kama mtu anaona hawezi kuipambania team, ni afadhali atuache tu kuliko kutuweka fedhea.
Hii kwa kweli Inatosha na tumechoka.