Kiatu na m**0

Kiatu na m**0

Globu

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2011
Posts
9,322
Reaction score
2,896
Kiatu alikuwa analalamika 'mimi Mungu kanionea, nakanyangwa, naendewa chooni......' M**o akamcheka akamwambia 'bora wewe, mimi tangu nibaleghe nafichwa kwenye chupi. Hata hewa sipati, nikitolewa humo naingizwa kwenye tundu lenye joto nasuguliwa mpaka natapika. Nikitolewa huko nipo hoi hata kusimama siwezi narudi tena kwenye chupi'
 
Wewe m***¤*¿¥*e utakuja upigwe Ban humu ndani hiyo topic km hii mara nyingine toa night ingali vichwa vimepoa
 
Mh, sijacheka, haichekeshi.
Ni matusi matupu! Mods iondoeni!
 
msameheni bure huyo kaingia mlango sio wake.... Mods msaidie kupitisha mlango husika
 
humu JF kuna harufu ya ubaguzi, watu wengine wakiweka mada zao hata kama zina matusi hazikashifiwi, wengine wakiweka, hata kama zina matusi ya kawaida tu zitapondwa kama nini, sasa hii mada ina matusi gani ya kutisha jamani, na isitoshe ipo kwenye jokes, hebu tuwe waungwana.
 
Hayo siyo matusi kwa sababu zipo sehemu yake,Kwenye Jokes.
 
humu JF kuna harufu ya ubaguzi, watu wengine wakiweka mada zao hata kama zina matusi hazikashifiwi, wengine wakiweka, hata kama zina matusi ya kawaida tu zitapondwa kama nini, sasa hii mada ina matusi gani ya kutisha jamani, na isitoshe ipo kwenye jokes, hebu tuwe waungwana.

Allydou! hawa watu ni wa ajabu sana yaani ni wabaguzi vibaya mno alafu wanaona wenzao ni wabaguzi
 
Ivi kwani humu kwenye Jokes tunatakiwa kuwa tunaandika nini? kuhusu Mungu ama kuhusu nini? mbona mtu akiandika kitu mnajifanya mnabusaaaaaaaaaaaara, kama vipi si msiwe mnaingia humu, acheni mambo yenu ya ajabu nendeni kwenye siasa kama mnataka mambo mengine
 
Back
Top Bottom