zwenge ndaba
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,018
- 3,514
Nihonge nanunua nini kwanini yani
Kuna kipi nisichokijua ina TV ndani
Kuna kipi nisichokijua ina TV ndani
Maana yake ni kitoa kitu chochote ulichonacho ili kurahisishiwa hali flani au kupata kitu flan bila mikwamo(vizuizi)kuhonga maana yake nini?? kwetu moshi
je kuna tofauti ya kimaana kati ya :-Maana yake ni kitoa kitu chochote ulichonacho ili kurahisishiwa hali flani au kupata kitu flan bila mikwamo(vizuizi)
Ww ni mwema sana kakaMwaka 2008 ilibaki kidogo tu nihonge FIGO moja kumuimpress demu. Babaake alikuwa anaumwa sana na anahitaji kusaidiwa figo. Kwa kumuonea huruma dem coz kila siku ananilalamikia hali ya mzee wake, ikabidi nijitoe mhanga na mimi kama mchangiaji. Daah kilicho "nisevu" mzee wake alivuta kabla safari ya India. Nmeachana nae saiv almost 3yrs now. Lakin tukikutana haachi kunilipa fadhila kwa moyo niliouonyesha, kitu ambacho bro zake walishindwa.
hapo kuna haja ya kuangalia vidato vingapi umemaliza?? swali hilo hata skuli halipoSamahan bro nilikimbia umande
Wajameni si mnajua rushwa ni kosa sasa kuhonga si rushwa.!Ni kiasi gani kikubwa ulichowai kuhonga?huenda kikawa kidogo ila kinathamani kubwa sana kwako!
Naamini kuonga siyo dhambi ila ni mapenzi tu.
Nakumbuka niliwai kuhonga simu,kumsomesha,kuwasaidia wazaz wake fedha na mahitaj yote muhimu.
Pamoja na kuhonga vyote sikupata papuchi nilinyang'anywa na wajanja.
Sio kesi ilikua ni mapenzi tu.
Je wewe uliwai honga nini?
Kwel mkuu kuhonga sana sio sifa ,kujisogeza kwenye umasikini tuuNiliota nahonga laki mbili nikashtuka nikaona tangu nianze kuota ndoto za kutisha hii ni namba moja bora ningeota nakimbizwa na majoka au nakabwa koo na majini