muuza ugoro
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 334
- 59
Wandugu, tafadhali naomba julishwa ni kiasi gani minimum kwa siku anapata mmliki wa bajaj na bodaboda kwa mkoa wa DSM wilaya ya Kinondoni?
Kama we ndo mmiliki uamuzi ni wako. unoongea na huyo unayemkabidhi(MAPATANO) hakuna kanuni ktk hili.
Wandugu, tafadhali naomba julishwa ni kiasi gani minimum kwa siku anapata mmliki wa bajaj na bodaboda kwa mkoa wa Dsm wilaya ya kinondoni?
thanx wakuu. Hapo maintance ni juu ya dereva au mmiliki?