Ingia hapa www.freemason.comMpaka uwe mason...wanahitaji qualifications gani labda?
Hata katika hizi imani zetu zinazomtaja Mungu zina mengi mabaya na ya kutisha sanaKinachotia wasiwasi ni hizi ibada zao kama wengi wasemavyo kuwa zinaambatana na kafara za umwagaji damu wa binadamu!..hili kama ni kweli basi hata mazuri yanayoonekana kufanywa nao hayafai sana kusifiwa...
Hii ilikuja baadae sana lakini ni sect tu ndani ya jumuiya kubwa ya freeFreemasons= mafundi huru
Zamani huko ulaya na mashariki ya mbali(kabla ya kipindi cha enlightenment) mafundi wote wa ujenzi walikua wako bound na master wao mmoja tu,yani hauwezi kufanya kazi kwa mtu mwingine wala kujenga ramani kama hiyo(ndio maana mfalme aliejenga Taj Mahal aliwakata mikono mafundi walivomaliza),chimbuko la ufreemason liko katika harakati za hawa mafundi kudai uhuru wao kutoka kwa masters wao .........
Sawa sawa Rais wa wachawi TanzaniaHao wapondaji ndio wateja wangu wakuu ndio maana huwa naenda nao sawa siwachukii kwakuwa nawajua vema
Na kwa kuongezea siri ndio ufunguo wa mafanikio, hakuna imani iliyokusanya binadamu wa aina zote kama hii, na INA nidhamu ya hali ya juu. Bravo mshana Jr.Sio jumuiya ya siri bali viapo ndio vya siri
Ni ni moja ya jamii inayoheshimika sana ulimwenguni wako smart kuanzia mavazi mali mpaka kwenye medulla
Ni ni moja ya jamii inayoheshimika sana ulimwenguni wako smart kuanzia mavazi mali mpaka kwenye medulla
Itakua ndo ile ambayo yesu aliita vuguvugu. Aliikataa sanaMkuu...katikati ya MUNGU na shetani inakua ni wapi hapo wapo hao watu?
Naomba siku uandae somo kuhusu hili...tunahitaji na sisi kujuaHata katika hizi imani zetu zinazomtaja Mungu zina mengi mabaya na ya kutisha sana
So kuna baadhi hawafanyi? Na kama ni kafara inakuwa ni ndugu yako au mtu yoyote?Baadhi ya sect zinazochanganya na satanism wanafanya hivyo