Kiapo cha daraja la umason

Kiapo cha daraja la umason

Kinachotia wasiwasi ni hizi ibada zao kama wengi wasemavyo kuwa zinaambatana na kafara za umwagaji damu wa binadamu!..hili kama ni kweli basi hata mazuri yanayoonekana kufanywa nao hayafai sana kusifiwa...
Hata katika hizi imani zetu zinazomtaja Mungu zina mengi mabaya na ya kutisha sana
 
Freemasons= mafundi huru

Zamani huko ulaya na mashariki ya mbali(kabla ya kipindi cha enlightenment) mafundi wote wa ujenzi walikua wako bound na master wao mmoja tu,yani hauwezi kufanya kazi kwa mtu mwingine wala kujenga ramani kama hiyo(ndio maana mfalme aliejenga Taj Mahal aliwakata mikono mafundi walivomaliza),chimbuko la ufreemason liko katika harakati za hawa mafundi kudai uhuru wao kutoka kwa masters wao .........
Hii ilikuja baadae sana lakini ni sect tu ndani ya jumuiya kubwa ya free
 
1454295181971.jpg
 
conspiracy stories.nyingi huwa hazina uhalisia,lakin napenda tu kuzisikia!!!!
 
Mshana. Nauliza makao makuu ya freemason yapo nchi gan
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom