Kiapo cha damu kwenye mapenzi!

Kiapo cha damu kwenye mapenzi!

Huyo binti angeendelea na msimamo wake, jamaa angebaki na maumivu yake. Ina maana binti hana mtu wa uhakika
 
Kuna binti mmoja wa Singapore nilimpata mwaka 2011 akataka tufanye hicho kiapo, sikukataa, but siku alipokuja gheto nikamwambia nitaapaje wakati sijaonja! Ile kunipa tu nikampa kiΔ¶π÷×¢€¥ cha kufa mtu, na mambo ya kiapo yakaishia hapo. Ilikuwa kila weekend never miss lazima aje kula mkuyenge
Hahaha wwe noma. Mkuu!
 
Hicho kiapo babkubwa aiseee.

Ila siku zote naamini kupenda ni kitu kingine bana sababu kuna baadhi mambo huwa yanafanyika hadi unakaa na kujiuliza mara mbili mbili na usipate jibu ya kilichotokea.
Kupenda. ni upofu wa macho na akili. Mkuu,ndio. Maaana wengine. Hufikia. Hatua ya kujiua!
 
Back
Top Bottom