Bandiwe
JF-Expert Member
- Oct 19, 2013
- 9,530
- 3,556
....usipotumia pesa kwenye kupenda ndo ujinga zaidi maana zinakuwa hazina maana.Huu ni upuuzi na sitakaa nije niufanye.Niache kupenda pesa nipende mavitu ya kijinga? Kiruu
....usipotumia pesa kwenye kupenda ndo ujinga zaidi maana zinakuwa hazina maana.Huu ni upuuzi na sitakaa nije niufanye.Niache kupenda pesa nipende mavitu ya kijinga? Kiruu
Bado nakitafakariVipi ?Ulikataa Kula kiapo cha Damu.Mkuu!
Sawa mkuu nimelijua jambo jipyaMission ni kukubaliwa a kumpata, na sio kupendwa. Wanawake hawapendagi.
Na siku ukipendwa na mwanamke jua maisha yako yapo hatarini.