Tajirimsomi
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 4,824
- 5,605
Kuna binti alinishawishi hivyo mwaka 2014 nikamkubalia tulipofika eneo la tukio nikaghairi
Kiapo cha damu si kizuri hata kidogo, maana mnakua mnaweka agano!!
Kuna mwanamke alitaka kuweka kiapo cha damu na mimi, nilitoka nduki vibaya sana hadi nikapitiliza mtaa!!
mkuuu hatari sanaa hiyooo,, weka mbali na watotoAisee sijui anipe nini ndio nitaapaUtampata Mkuu,na utaapa tu!
Kweli Hii DUNIA kuna RISK TAKER.
Huo ujinga wa kiapo cha damu siwezi Fanya ata kama nakupenda kama PESA.

Acha tu hapa nilipo kuna mtu nampenda mpaka nahisi sio akili yangu...... Mapenzi yana nguvu sana hawa wanaosema hawawezi kuweka kiapo hawajashikwaHicho kiapo babkubwa aiseee.
Ila siku zote naamini kupenda ni kitu kingine bana sababu kuna baadhi mambo huwa yanafanyika hadi unakaa na kujiuliza mara mbili mbili na usipate jibu ya kilichotokea.
mkuuu , ngoja na mm nimshaushi jamaa tule kiapo. daaarHicho kiapo babkubwa aiseee.
Ila siku zote naamini kupenda ni kitu kingine bana sababu kuna baadhi mambo huwa yanafanyika hadi unakaa na kujiuliza mara mbili mbili na usipate jibu ya kilichotokea.
Nilipata mashaka juu ya uhusiano wetu mdada alikuwa anaforce mapenziKwanini uliogopa. Mkuu?
Acha tu hapa nilipo kuna mtu nampenda mpaka nahisi sio akili yangu...... Mapenzi yana nguvu sana hawa wanaosema hawawezi kuweka kiapo hawajashikwa
