Mathias
Senior Member
- Apr 22, 2009
- 118
- 12
Viwanda vya hapa nchini wagumu sana kutoa 10% wewe unafikiri akina Makamba, Amos Makalla watakulaje?
Bora wawapelekee wa China huko sio wazito kutoa 10%
10% ata ndani ya chama chao wenyewe!!! ama kweli awa wamekubuhu kwa ufisadi. Nafikiri ata ndani ya familia zao bado wanakata 10%. Mama akiachiwa fungu la chakula anakata fungu lake, dogo nae akipewa pesa ya ada anakata 10% kwanza. Kweli ufisadi ukikuingia ni sawa na virusi havikuachiii.