Khaliat nahal (honeycomb breads)

Asalam alaykum da faa, mzima wewe?

Ivi nataka kukuuliza haya mapishi umejifundishia nyumbani, school au una kitabu? Mana haya mengine mageni kweli kwangu juu ya kuwa napenda kupika lkn mfano mkate huu sijawahi hata kuuskia, kama ule wa tambi.

Endelea kutufundisha mama, ndo thawabu zenyewe hizo. Thank u sweetie
 
Asalam alaykum da faa, mzima wewe?

Ivi nataka kukuuliza haya mapishi umejifundishia nyumbani, school au una kitabu? Mana haya mengine mageni kweli kwangu juu ya kuwa napenda kupika lkn mfano mkate huu sijawahi hata kuuskia, kama ule wa tambi.

Endelea kutufundisha mama, ndo thawabu zenyewe hizo. Thank u sweetie

Vingi nimefundishwa na mama....vyengine ni kujifundisha tu nkiona chakula kimepikwa mahali nauliza kimepikwaje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom